Me id yangu sio mpya sema mitaa hii nilikua sikatizi nipo toka 2015 upo?? Nilikuwa nashinda kwa lala 1 na kina hearly, heaven sent wengine nishawasahau mana niliitelekeza jf kwa muda
Halafu Cute Wife huyo aliyekuambia sasa nipo mfupi hujasikia alivyo yeye dah kwanza namdai hana hela anaajiri watu hajajipanga mkienda sasa ofisini mwa watu wanawakimbia na marafiki zangu wote waliniblock kisa hiyo kazi nikapauka nikasema bora kazi yangu ya udalali mwanaume anasura ya kizamani zamani , anavaa nguo za watu wa zamani yaani hujui ni mzee au nikijana