Selfika na JF: Snap it. Show it

Pacha ndio naingia sasa hivi, what's wrong jamani?
 

Afu hiki kipande nakihitaji maelezo yake vizuriiiiiiii!!!! Hapo ninapopigwa na Kantri kasema Penseli na Jack kasema nani?? Yaani uliweke kwa mpangilio ili nishuke nao vzr
 
Afu hiki kipande nakihitaji maelezo yake vizuriiiiiiii!!!! Hapo ninapopigwa na Kantri kasema Penseli na Jack kasema nani?? Yaani uliweke kwa mpangilio ili nishuke nao vzr
Uduguuu muambie Mr kahawa achanganue files vizuri, naona km anataka kutupiga chenga ya mwili,

Mwachiluwiiii ni kidagaaa wala hana jambo lolote LA kutustuaa, awatajee mapapa bhana.

 
Uduguuu muambie Mr kahawa achanganue files vizuri, naona km anataka kutupiga chenga ya mwili,

Mwachiluwiiii ni kidagaaa wala hana jambo lolote LA kutustuaa, awatajee mapapa bhana.


Mwachi kwanza namsikiliza piem utetezi wake, namtafutia muda kwanza nafanya maokoto ya faster ya kuja ku- bang na vigagula na mapapai leo live

Huyo nation alete file la kueleweka si kataka kurithi mikoba ya Koffi Annan afunguke sasa aeleweke lasivyo tunamkaanga mwenyewe
 
uduguuu wangu leo watu uko nao wima wimaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…