Selfika na JF: Snap it. Show it

Uduguuu muambie Mr kahawa achanganue files vizuri, naona km anataka kutupiga chenga ya mwili,

Mwachiluwiiii ni kidagaaa wala hana jambo lolote LA kutustuaa, awatajee mapapa bhana.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mwachi kwanza namsikiliza piem utetezi wake, namtafutia muda kwanza nafanya maokoto ya faster ya kuja ku- bang na vigagula na mapapai leo live

Huyo nation alete file la kueleweka si kataka kurithi mikoba ya Koffi Annan afunguke sasa aeleweke lasivyo tunamkaanga mwenyewe
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu wangu leo watu uko nao wima wimaa.
 
Kuna nini kinaendelea huku?
Humu rafiki yangu hapaeleweki vizuri, story kamili unaweza kupata kwa cocastic au Cute Wife mimi nilikuta mambo yamechemkaa balaa

Ila kwa ufupi inaonekana kuna member wana group zao huko pm wanawasema na kueneza mambo kwa kuwazushia baadhi ya members humu kuwa wana mahusiano au wanakulana na blaa blaa kibao

Hayo mambo yamepelekea kukosa utulivu humu ndani kiasi ambacho kimewakasirisha wajumbe kwa hiyo wamekusudia na wameanza kulipua mabomu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unayawezaaaa kwa kwelii.
 
Kumbe, asante sana maana nilikuwa sielewi. Samahani lakini kwa usumbufu.
 
National Anthem alilewa kidogo late night akaanza kulipua ameahidi leo akipiga ka ulanzi vizuri kufikia kiwango cha harmonize atatulipua mmoja baada ya mwingine ili tukae sawa na amani itawale
Ms eyes
 
Hivi sisi nani ametusingizia Mjep?
Tumuweke kwenye toba Mungu amrehemu😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…