Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,567
- 235,397
Dah[emoji38][emoji1787][emoji23][emoji23]Wee uduguu akeeeeeee!!! Walete kati ajajajaahhh!!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa hao midosho wenyewe nao khaaaaaaa!! Me kwanza bado siamini yule mtu mbona sura chachu sana km kalamba unga wa misukule nyie jf kuna viumbe vya ajabu khaaaaaaaaaa!!!
Sasa hilo mitrakooo bwimbwilu linavyojiosha kumbe linapumuliwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😀😀UlilalaDah[emoji38][emoji1787][emoji23][emoji23]
Nyie
Tunatendeshana dhambi asbh na mapema hii
Kwani hivi mnawasema akina nani?
Hebu wekeni picha tuone
Pacha ndio naingia sasa hivi, what's wrong jamani?Unajua nini Engineer! Hawa dada zetu ni watu wa thamani sana, hili songombingo lao linawatia doa.. ujue humu kuna.michongo kibao.. unakuta mtu anapita anaona uswahili tu.. anachokaaa.. zamani ilikuwa poa sanaaa..
Cute Wife Depal Antonnia Lenie Aaliyyah cocastic .. Nuzulati Ms eyes mjue nyie ni watu powa sana.. kuna maisha baada ya chit chat.. hujui lini na wapi waweza mkuta mtu na akawa msaada kwako.. hizi mambo hapa mnazinguana hakuna ajuae kesho.. banaaa
Morning babeNational Anthem nimeachia piem naomba unitumie hizo file, nimalize kuzungusha vijora baadae nije niselfike na wachawi wangu wote leo
Nililala zangu[emoji3][emoji3]Ulilala
Mjep goodmorning, nina shida na wewe sana aisee.Insha Allah🙏
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usingizii umekataa.Mchumba ulale
Good morning mremboMjep goodmorning, nina shida na wewe sana aisee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dada wee mtakatifuu, heka heka hazikufaii.Kweli umbea ni kipaji
Nasoma ila sielewi chochote
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utakufa siku si zakooo wee.Nataka niwe uncle shamte nibambie sehemu ya umate umate tu.
Kesho nakutumia picha ya hizo message na chart pamoja na picha.. unakataa kuwa Penseli 4 kafanya hayo.. na huyo ndio hata alisema wewe unapigwa na countri, na conutri pia kapida depal.. kesho nakurekodia au nazipiha picja maana siku hizi hazikubali screenshot
Ukalale sasa mlongo maana umekesha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dada wee mtakatifuu, heka heka hazikufaii.
Shem umepania kweli yaani kama nakuona vile🤣🤣Afu hiki kipande nakihitaji maelezo yake vizuriiiiiiii!!!! Hapo ninapopigwa na Kantri kasema Penseli na Jack kasema nani?? Yaani uliweke kwa mpangilio ili nishuke nao vzr
Hata mimi aiseeKweli umbea ni kipaji
Nasoma ila sielewi chochote
Nimeamka poa , sijui wewe?Good morning mrembo
Umeamkaje?
Karibu
Uduguuu muambie Mr kahawa achanganue files vizuri, naona km anataka kutupiga chenga ya mwili,Afu hiki kipande nakihitaji maelezo yake vizuriiiiiiii!!!! Hapo ninapopigwa na Kantri kasema Penseli na Jack kasema nani?? Yaani uliweke kwa mpangilio ili nishuke nao vzr
Silaliii afu vocha atakayokupa uduguuuu, I4wadi kwangu.Ukalale sasa mlongo maana umekesha
Shem umepania kweli yaani kama nakuona vile[emoji1787][emoji1787]
Namshukuru Mungu niko poaNimeamka poa , sijui wewe?