Haha naam nakuona chiefaniteke nani mie π π π
anaetaka shari aje hapa kitambaa cheupe.. nimvaa koti la.suti na shati kaki na suluwae black na cape blac.. nipo counter hapa na mademu wanne
Mimi Tenaπ€ππ, au umesha lewa mzeeππHaha!!
Kala cha tabora.
Kazi unayo toka kwa pacha.
haha leo pacha anasema hataki kusikia la muazini Wala la mnadi swala.Mimi Tenaπ€ππ, au umesha lewa mzeeππ
Kipi kinatisha?Dah National Anthem huyu dogo haogopiππ€ππ
Dogo mi nalala, nina ki barua saa 12:00- so lazima niwahiππππ€Kipi kinatisha?
Dah kabla ya kuleta hapa ungeniuliz na mimi kwa upande ukapima mzani kwa namna hii unayo tumia utagombana na watu kumbe mchawi jirani yakoWanakera sana aiseeee!!! Basi hawajui yani muda wote wanapambanisha watu sema Mwachiluwi aje atupe maelezo ya kutosha
Aunt Mimi sijawahi kuwa na ugomvi na mtu na Wala sitarajii kuwa nao sinasababu ya kugombana kama mtu alimua kunikosea Kwa hiyari yake nilishasamehe ndio maana hata sihangaiki na mtu kabisaCute Wife cocastic Depal Lenie Antonnia Nuzulati Aaliyyah mjue nyoe wazuri warembo na mna akili na wewe tena kama engineer.. hamfanani na picha hili la kihindi hapa.. leo nafanya upasuaji alafu mtachagua wenyewe.. napita na mmoja baada ya mwingine.. π¬π¬π¬π¬π¬π¬.. dk naaamia kwa ninae mtombear demu wake
Polesana nduguNiliwahi biashara ilikuwa poa tu marafiki best wee kopa si una leseni yaani kama niliweka mkosi kwenye biashara πππ
Sina kitete ila Mwachi huyu ni special case nahitaji mikasi mizuri ya kumfanyia operation
Watu weuweeeeeeee, vochaa vochaaa.mnaniachache warembo nyie tukale wote basikalaleni mie natelemsha hapa kesho kufikia usiku virua wawe wameisha.. tue enjo selfika yetu na nita posy vocha za 200,000 za buku tano tano
Yaani kesho kutachafuka hapa
Bahati tu wenye ugomvi wao wamelala muda huu, wakiamka naamini pm charts zitahamia kwenye uzi na uzi utafutwa huu
Kuna watu wanajua ugomvi balaa
Bas hapo ushatamaniiii wee kiumbe, woiiiiiihMpaka pesa unatuma mchuchu!!
Nilikuwa kufunga mzigo sasa hapa ktk kuchat dogo akaomba nimnunulie nguo za mazoezi anitumie pesa, nikamjibu hapana potezea nitakupa km ofa tyuuu!! Na ukiangalia hiyo nguo ni km dollar 20
Sasa ile mizigo nikaiweka na ya dukani pamoja ikaenda cargo na me kwenye bags zangu nilibeba vitu muhimu tu
So nilivyofika nikaona kwann nisimchukulie za kkoo hapa chap, na nikiangalia mzigo unachelewa mpk nifanye clearing nikamuuliza nikutumie pesa au utanunua mwenyewe?? Akasema nitanunua we nitumie tyuuu!!! Ile kiurafiki kaka na dada
Nikamcheck dogo wa dukani nikampa namba akatuma 40,000 ile kapokea huyo jukwaani ooohoo Kantri ulisema cute hawez kuja mbona kaja kwangu kabla ya siku haijafika??? Dah!! Nilihuzunika nikatumia busaraβ¦β¦.
Chino kesho ntamalizia niache kwanza huyu sitomfaidi ninavyotaka
Mchawiii jirani yako ganiii?? Ni weweee ndo ndumila kuwiliii nani hakujuiiii?? Utuelezeee vizurii ulivyokua unaya banangaaa humu ndaniiiiDah kabla ya kuleta hapa ungeniuliz na mimi kwa upande ukapima mzani kwa namna hii unayo tumia utagombana na watu kumbe mchawi jirani yako
Mchawiii jirani yako ganiii?? Ni weweee ndo ndumila kuwiliii nani hakujuiiii?? Utuelezeee vizurii ulivyokua unaya banangaaa humu ndaniiii
Nataka niwe uncle shamte nibambie sehemu ya umate umate tu.Bas hapo ushatamaniiii wee kiumbe, woiiiiiih
Kweli umbea ni kipajiUnataka kias gan?
Ukute nnalo mapemaa, afu wee na kidney mliishia wapiii?? Yule mjinga nlitaka kumpa hints fulan, afu ulikua wee na jamaa m1 hivi angewapiga parefuu mnoo, tungegawana mapeneeee.
JF iko mabeganiii
DahWee uduguu akeeeeeee!!! Walete kati ajajajaahhh!!!
Sasa hao midosho wenyewe nao khaaaaaaa!! Me kwanza bado siamini yule mtu mbona sura chachu sana km kalamba unga wa misukule nyie jf kuna viumbe vya ajabu khaaaaaaaaaa!!!
Sasa hilo mitrakooo bwimbwilu linavyojiosha kumbe linapumuliwa
ππUlilalaDah
Nyie
Tunatendeshana dhambi asbh na mapema hii
Kwani hivi mnawasema akina nani?
Hebu wekeni picha tuone