Unajua nini Engineer! Hawa dada zetu ni watu wa thamani sana, hili songombingo lao linawatia doa.. ujue humu kuna.michongo kibao.. unakuta mtu anapita anaona uswahili tu.. anachokaaa.. zamani ilikuwa poa sanaaa..
Cute Wife Depal Antonnia Lenie Aaliyyah cocastic .. Nuzulati Ms eyes mjue nyie ni watu powa sana.. kuna maisha baada ya chit chat.. hujui lini na wapi waweza mkuta mtu na akawa msaada kwako.. hizi mambo hapa mnazinguana hakuna ajuae kesho.. banaaa
Nini kifanyike? Suluhishoo litafutweee haraka iwezekanavyooo.Unajua nini Engineer! Hawa dada zetu ni watu wa thamani sana, hili songombingo lao linawatia doa.. ujue humu kuna.michongo kibao.. unakuta mtu anapita anaona uswahili tu.. anachokaaa.. zamani ilikuwa poa sanaaa..
Cute Wife Depal Antonnia Lenie Aaliyyah cocastic .. Nuzulati Ms eyes mjue nyie ni watu powa sana.. kuna maisha baada ya chit chat.. hujui lini na wapi waweza mkuta mtu na akawa msaada kwako.. hizi mambo hapa mnazinguana hakuna ajuae kesho.. banaaa







naona analeta taratibuuuu, tutafikaa tyuuh hadi panapotakiwaaaa.
Kikubwa ukweli uwekwe wazi.






We si ulitaka kulala wewe![]()




usingizi umekataaa, afu mchumba ulalee kesho kazinii wee, usinisumbue kukuendesha, utatafuta dereva mwingne wee hayaa.Huku niliko ndo kwanza saa mbili asubuhi chief, dunia kijijiUsiku kama mchana
Yaani anakuja afu anakataa me simuelewi kabisaa bro anafail sasa?? Sijui wanamtisha??![]()





sijui kwann nachekaaa, wallahHapo sasa.Mbona unazunguka sana bro?? Emu twende kwenye point ya msingi chap chap tupate amani ya selfika
Mbona unazunguka sana bro?? Emu twende kwenye point ya msingi chap chap tupate amani ya selfika
Nipo slow.. nipo pia hapa napambana na manzi yangu hapa.. lol😬😬😬😬..Yaani anakuja afu anakataa me simuelewi kabisaa bro anafail sasa?? Sijui wanamtisha??![]()
Nini kifanyike? Suluhishoo litafutweee haraka iwezekanavyooo.
![]()
Nipo slow.. nipo pia hapa napambana na manzi yangu hapa.. lol..
Ktk ile crew kuna pipo ni papai,Hitimisho bado mpk aseme hilo kundi na watu wanaotupachika kwa wanaume of course km me Jack sina uhusiano naye NIMESHANGAA??? Yeye ayanwage ile ki Wagner haina kona kona unalipua baaangg tujue wachawi





Nakumbuka kipindi flani nilikuwa naenda sawa sana na thread ya usiku wa manane, ulikuwa hukosekani mkuu , nakumbuka ulikuwa kwa kina sachiko kama sijakosea 😁😁..Huku niliko ndo kwanza saa mbili asubuhi chief, dunia kijiji
I was given as a gift tu mkuu, zilikuwa jbl tune tws.Zinauzwaje chief
Ktk ile crew kuna pipo ni papai,
Nyie sipati picha nayeye eti akawa anajibaraguzaa, mbna ataikimbia JF, nitashuka nae mzima mzima.
Woiiiiiiih
shwari kabisa nam dongsaeng![]()
Tuna Angalia live performance ya giant of africa- burna boy🤒Usiku kama mchana
Kuna difference ya 6 hrs huku niliko na bongo chiefNakumbuka kipindi flani nilikuwa naenda sawa sana na thread ya usiku wa manane, ulikuwa hukosekani mkuu , nakumbuka ulikuwa kwa kina sachiko kama sijakosea 😁😁..
😂😁😂😂, Mkuu huko uliko Wana access ya kuuza vocha, service ya tz🤔Kuna difference ya 6 hrs huku niliko na bongo chief
Unaweza ukadhani tuko sawa kumbe kwangu ni mchana na ndiyo ilivyo kwa member wengi hapa jf
Mbona sijazeeka na ninapitwa na hizi updates daaahhh. Kwanza Hapa nimefika muda huu kwa bahati tu yaani saa yoyote nalala mkuu, utanipa review tu mkuuTuna Angalia live performance ya giant of africa- burna boy🤒