Huwa napata tabu kupata earpods nzuri ambazo ziko kwenye bajeti yangu nyingi huwa napata feki kwa hiyo ulivyozisifia nikawa interested ndo sababu nikauliza bei nilihisi zitakua ghali kidogoI was given as a gift tu mkuu, zilikuwa jbl tune tws.
👉Nili sikia 200+, Nika Baki na earphone za kawaidaa.
