Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

unajia nini Bro! zamani tulikuwa kama ndugu.. Antonnia utakuta anacheka na Depal au Lenie na cocastic yani hakukuwa na makundi.. kabisa tulikuwa hadi raha hata ukitupia vocha inakuwa rahaa.. kama family.. mambo ya uchawi na watu wachache wachache wanakuuuza mambo sana hukoo.. imekuwa ka jukwaa kakikuda kinoma kila ukoja majungu.. mie nalala nao mbele mmkoko badala ya mwingine...baana nashusha mmoja baada ya mwingine
Kweli aisee hali ya hewa imechafuka hapa uzi umekua wa hovyo kweli
Haya makundi yanaleta chuki na yanaondoa utulivu
Watu waondoe tofauti zao turudi kama zamani na majungu yaishe
 
unajia nini Bro! zamani tulikuwa kama ndugu.. Antonnia utakuta anacheka na Depal au Lenie na cocastic yani hakukuwa na makundi.. kabisa tulikuwa hadi raha hata ukitupia vocha inakuwa rahaa.. kama family.. mambo ya uchawi na watu wachache wachache wanakuuuza mambo sana hukoo.. imekuwa ka jukwaa kakikuda kinoma kila ukoja majungu.. mie nalala nao mbele mmkoko badala ya mwingine...baana nashusha mmoja baada ya mwingine
Letaaa vituuuuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
National akirudi na ma snitch yanarudi mbona sielewi udugu?? National hebu fumua pale kwenye kitovu tukalale kesho lunch tuendelee [emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222]
 
Cute Wife cocastic Depal Lenie Antonnia Nuzulati Aaliyyah mjue nyoe wazuri warembo na mna akili na wewe tena kama engineer.. hamfanani na picha hili la kihindi hapa.. leo nafanya upasuaji alafu mtachagua wenyewe.. napita na mmoja baada ya mwingine.. [emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51].. dk naaamia kwa ninae mtombear demu wake

Piga kwenye mshono sasa kaka mkubwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kweli aisee hali ya hewa imechafuka hapa uzi umekua wa hovyo kweli
Haya makundi yanaleta chuki na yanaondoa utulivu
Watu waondoe tofauti zao turudi kama zamani na majungu yaishe
Unajua nini Engineer! Hawa dada zetu ni watu wa thamani sana, hili songombingo lao linawatia doa.. ujue humu kuna.michongo kibao.. unakuta mtu anapita anaona uswahili tu.. anachokaaa.. zamani ilikuwa poa sanaaa..

Cute Wife Depal Antonnia Lenie Aaliyyah cocastic .. Nuzulati Ms eyes mjue nyie ni watu powa sana.. kuna maisha baada ya chit chat.. hujui lini na wapi waweza mkuta mtu na akawa msaada kwako.. hizi mambo hapa mnazinguana hakuna ajuae kesho.. banaaa
 
Cute Wife cocastic Depal Lenie Antonnia Nuzulati Aaliyyah mjue nyoe wazuri warembo na mna akili na wewe tena kama engineer.. hamfanani na picha hili la kihindi hapa.. leo nafanya upasuaji alafu mtachagua wenyewe.. napita na mmoja baada ya mwingine.. [emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51].. dk naaamia kwa ninae mtombear demu wake
Letaaa list baba, tupo winja winjaa kupokeaaaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], amani itawaleeee mahali hapa.
 
Back
Top Bottom