Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mie nalipua hapa.. kwanza kule wanasema Jack anapiga Cute wife, Nation anapiga Lizzy, antonn anapigwa na graham, cocca anapigwa na mjep, deap anapigwa na country, lenie anapigwa pia na jack.. naendelee subirini kwanza.. natapika hapaaaa.. mtajijua wehyewe

Hii kali mie natoka na Jack?? Jack huyu huyu??? Afu kumbe Countrywide nina mke mwenzangu humu na husemi nyie mie sitakiiii khaaaaa!!!

Lete lete baba tuone panapovuja
Nina raha mie hatimaye mambo yanakua peupe!!!

Afu huyo mke mwenza si goma lako wewe?? Ko mnashare na Kantri??
 
Hii kali mie natoka na Jack?? Jack huyu huyu??? Afu kumbe Countrywide nina mke mwenzangu humu na husemi nyie mie sitakiiii khaaaaa!!!

Lete lete baba tuone panapovuja
Nina raha mie hatimaye mambo yanakua peupe!!!

Afu huyo mke mwenza si goma lako wewe?? Ko mnashare na Kantri??
tulia kwanza mie sina manzi humu siwezi penda fake ID na avatar.... ngoja nikamalize kwanzaa hapo .. nakuja
 
Lete baba lete
nimeitwa tukashikane shikane kwanza
Screenshot_20230821-015959.png

itategemea na hali ya hewaa inaweza kesho tenaaa 🤣🤣
 
Hii kali mie natoka na Jack?? Jack huyu huyu??? Afu kumbe Countrywide nina mke mwenzangu humu na husemi nyie mie sitakiiii khaaaaa!!!

Lete lete baba tuone panapovuja
Nina raha mie hatimaye mambo yanakua peupe!!!

Afu huyo mke mwenza si goma lako wewe?? Ko mnashare na Kantri??
Mbombo ngafuuuuuu, ngumu kumezaaaaaa
Antonnia shouzzzzz njoo hapaa kumesha kuchaaa. Woiiiih
 
kumbe list ndo iko hiviiii? Mbna habari cnaaa? Woiiiiiii

Mjep naomba tufunge ndoa haraka, tusi wa disappoint waja wa JF.

Mwenyewe nashangaa hapa nyie
Eti natoka na Jack??

Jack Palladino baba fanya kunitumia ticket nije ulipo tufanye kweli kumbe wamenikabidhi afu me sijui?!!!

Nimekubali kuwa official bi mdogo
 
Back
Top Bottom