YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
Mie nalipua hapa.. kwanza kule wanasema Jack anapiga Cute wife, Nation anapiga Lizzy, antonn anapigwa na graham, cocca anapigwa na mjep, deap anapigwa na country, lenie anapigwa pia na jack.. naendelee subirini kwanza.. natapika hapaaaa.. mtajijua wehyewe



Hii kali mie natoka na Jack?? Jack huyu huyu??? Afu kumbe Countrywide nina mke mwenzangu humu na husemi nyie mie sitakiiii khaaaaa!!!Lete lete baba tuone panapovuja




Nina raha mie hatimaye mambo yanakua peupe!!!
Afu huyo mke mwenza si goma lako wewe?? Ko mnashare na Kantri??







niende kwa babe nyie