Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

mpya nasubiri zichake dogo.. unataka kinarua kiote nyasi .. boss akijua hii ID yangu mbona nakutana na barua ya ouachishwaa kazi

Boss wako naye yupo selfika?? Nyie mie sitaki jamani khaaaaaa!!

Au ndo yule anayewaambia wadada humu kuna kazi afu baadae anawaleta kwamba wabaya wamenyata vibonge km kipipa??!!
 
mpya nasubiri zichake dogo.. unataka kinarua kiote nyasi .. boss akijua hii ID yangu mbona nakutana na barua ya ouachishwaa kazi

Boss wako naye yupo selfika?? Nyie mie sitaki jamani khaaaaaa!!

Au ndo yule anayewaambia wadada humu kuna kazi afu baadae anawaleta kwamba wabaya wamenyata vibonge km kipipa??!!
 
Boss wako naye yupo selfika?? Nyie mie sitaki jamani khaaaaaa!!

Au ndo yule anayewaambia wadada humu kuna kazi afu baadae anawaleta kwamba wabaya wamenyata vibonge km kipipa??!!
😅😅😅😅 sina boss mavi wa hivyoo banaaa Boss wangu ni mzito sana
 
Boss wako naye yupo selfika?? Nyie mie sitaki jamani khaaaaaa!!

Au ndo yule anayewaambia wadada humu kuna kazi afu baadae anawaleta kwamba wabaya wamenyata vibonge km kipipa??!!
uduguuu nalalaa, sina bundles, umbea naupenda, tukutane keshokutwaa.

Siku hizi bundles wanapewa wenye nyota zao mjinii, wakiwemo mapapaiiiii.

 
Not jf! Huyu alikua insta enzi izo alikua Ni mwanafunzi mipango dodoma!

Ni 7 years back.

Jf toka inni anipige na kitu kizito Sasa hivi najua wote Ni manjemba tu humu ndani kasoro Cute Wife tu ati

Mimi naingiaga live ushawahi kusikia sauti yangu?? Me nikishapandisha majini sijali naingia live sio shida zangu kabisaaaa!!! Muulize Kantri akupe habari zangu

Na siku nikilewa nawarukia hewani na ndio siku ya kula ban ya kwanza humu
 
Back
Top Bottom