Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,675
- 39,092
Nakwambia bro sitaki tena wanapita na vikaratasi vyao kopa dada usijali 😬😬😃😂😁😁, Na imagine mapiho ya Moyo yalivyo kuwa 😂.
👉Kutoka gospel😂 Hadi ama piano 😁😂
Nakwambia bro sitaki tena wanapita na vikaratasi vyao kopa dada usijali 😬😬😃😂😁😁, Na imagine mapiho ya Moyo yalivyo kuwa 😂.
👉Kutoka gospel😂 Hadi ama piano 😁😂
Nibless uduguuuu,Kutusua ya nyookoooo!!! Kutusua kwa kushinda piem za wanaume wenzie labda
Waliotusua wote ss hivi vacay, emu nikazane kuuza vijora nijipeleke Ibiza mamaeeh watu wajinyonge vzr khaaaaaaa!!!
Kwanza nimekumbuka ngoja niselfike moja niliyokua hapo kigamboni nikila bata udugu tulia nikubless![]()










anatuma za zamani, lolKipchoge una mjua🤔??😅😅😅😅😅
Mimi nilistuka mda kwamba unachepuka na hutaki wife ajue ila kwa nini mateso yote hayo😁😁mie na wewe nani huwa anafuta 😅😅😅
Inni yupo kweli? Anaendeleaje msalimie Sana.Unataka kias gan?
Ukute nnalo mapemaa, afu wee na kidney mliishia wapiii?? Yule mjinga nlitaka kumpa hints fulan, afu ulikua wee na jamaa m1 hivi angewapiga parefuu mnoo, tungegawana mapeneeee.
JF iko mabeganiii![]()
Hela nyingine za mtaani sio nzuri, watu wame fanya Mambo yao😁😂.Nakwambi bro sitaki tena wanapita na vikaratasi vyao kopa dada usijali 😬😬
mpya nasubiri zichake dogo.. unataka kinarua kiote nyasi 😅😅😅.. boss akijua hii ID yangu mbona nakutana na barua ya ouachishwaa kazianatuma za zamani, lol
Inni yupo kweli? Anaendeleaje msalimie Sana.
Nilimlisha block mapema Sana hata kabla hajasanukiwa
Alijaribu Sana virungu
Oyaa mi changu huwa kinachukuliwa gheto kabisa.
Sasa hivi kazi yangu Ni kudaka machozi ya cute wife tu





nimechekaa hadiii baas, wee kwann lakini? Hebu mtafutee mamsap ako bhanaa.Yaani ni kweli biashara ilikuwa njema ila nilipo kopa niongeze balaa lilianzia hapo eti wateja nawatafuta kwa tochi 🙆🏾♀️🙆🏾♀️Hela nyingine za mtaani sio nzuri, watu wame fanya Mambo yao😁😂.
👉Uki kopa una Anza kutoka kwenye Raman😂😁
Boss wako anashinda Selfika?mpya nasubiri zichake dogo.. unataka kinarua kiote nyasi.. boss akijua hii ID yangu mbona nakutana na barua ya ouachishwaa kazi





😅😅😅 humu watu wanachukua picha sijui wanapeleka kwa wangangaBoss wako anashinda Selfika?
Makubwaaa hayaa tenaa, woiiiiiih
Sasa hivi Ni mwendo wa video call tu. Na jf Mimi sijawahi pigwa na sitakuja kupigwaa.nimechekaa hadiii baas, wee kwann lakini? Hebu mtafutee mamsap ako bhanaa.
JF Woyeeeeee, visanga na manjegekaa kwa sanaa.
Kuna kipindi nili chukua ... Kwa Jamaa yangu fulani, ili nipush jambo fulani.Yaani ni kweli biashara ilikuwa njema ila nilipo kopa niongeze balaa lilianzia hapo eti wateja nawatafuta kwa tochi 🙆🏾♀️🙆🏾♀️
Mabwakuuuuuhumu watu wanachukua picha sijui wanapeleka kwa wanganga




kaaa kwa kutulia.. basi kwanzaa.. una deni langu usifanye umesahahu.. vipi poland unaendaMabwakuuuuu![]()
Sasa hivi Ni mwendo wa video call tu. Na jf Mimi sijawahi pigwa na sitakuja kupigwaa.
Yule bizzzop mombasa sijui yule wa dom fala yule ndo alikulaga almost 50k afu nikaja shutuka baadae





ulipigwa 50k, JF haina hurumaaa.uduguuuu JF wapo wengi mnooo. Ukipewa list utashangaaa.
Tunawastahiii tyuuh.



