Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kutusua ya nyookoooo!!! Kutusua kwa kushinda piem za wanaume wenzie labda

Waliotusua wote ss hivi vacay, emu nikazane kuuza vijora nijipeleke Ibiza mamaeeh watu wajinyonge vzr khaaaaaaa!!!

Kwanza nimekumbuka ngoja niselfike moja niliyokua hapo kigamboni nikila bata udugu tulia nikubless
Nibless uduguuuu,
 
Unataka kias gan?

Ukute nnalo mapemaa, afu wee na kidney mliishia wapiii?? Yule mjinga nlitaka kumpa hints fulan, afu ulikua wee na jamaa m1 hivi angewapiga parefuu mnoo, tungegawana mapeneeee.

JF iko mabeganiii
Inni yupo kweli? Anaendeleaje msalimie Sana.

Nilimlisha block mapema Sana hata kabla hajasanukiwa

Alijaribu Sana virungu
Oyaa mi changu huwa kinachukuliwa gheto kabisa.

Sasa hivi kazi yangu Ni kudaka machozi ya cute wife tu
 
Inni yupo kweli? Anaendeleaje msalimie Sana.

Nilimlisha block mapema Sana hata kabla hajasanukiwa

Alijaribu Sana virungu
Oyaa mi changu huwa kinachukuliwa gheto kabisa.

Sasa hivi kazi yangu Ni kudaka machozi ya cute wife tu
nimechekaa hadiii baas, wee kwann lakini? Hebu mtafutee mamsap ako bhanaa.
JF Woyeeeeee, visanga na manjegekaa kwa sanaa.
 
nimechekaa hadiii baas, wee kwann lakini? Hebu mtafutee mamsap ako bhanaa.
JF Woyeeeeee, visanga na manjegekaa kwa sanaa.
Sasa hivi Ni mwendo wa video call tu. Na jf Mimi sijawahi pigwa na sitakuja kupigwaa.

Yule bizzzop mombasa sijui yule wa dom fala yule ndo alikulaga almost 50k afu nikaja shutuka baadae
 
Yaani ni kweli biashara ilikuwa njema ila nilipo kopa niongeze balaa lilianzia hapo eti wateja nawatafuta kwa tochi 🙆🏾‍♀️🙆🏾‍♀️
Kuna kipindi nili chukua ... Kwa Jamaa yangu fulani, ili nipush jambo fulani.
👉duhh tuli poteza asilimia kubwa ya kitu tulicho kuwa tuna fanya, ndo nikaja ambiwa baadhi ya watu hela said sio POA😁😂
 
Back
Top Bottom