Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Naomba ulalee uduguuu, sitakiii kuona unalumbana na watu humu. Itaonekana wee ndo mgomvi.

Huyo yuko ktk crew yao, na yuko karibu sana na yeye. Achaa bhana.

Ndo nampa kwamba ni WABAYA WABAYA WABAYA hata waungane wote bado sana’aaaa

Watu wa Kongo wenye vigimbi vyao sura zimenyata
Afu kesho wakinitibua nawaleta live
 
Uduguuu usimpee huyooo, itume kwanguu.
Yaan ukimpaaa ntakubondaaaa wee.

Usimpeeee, usimpeeee usimpeeee.

tulia wewe tunampa moyo boss
Kazi ya kuwamwagia watu vocha humu mchezoooo mpk wanaselfika na vichwa vyao vya mbuni ili kumfirahisha boss asichoke kuwapa vocha za jero

Afu shem mnafki eti mzuri
 
We hutaki na mimi nihongwe?
We unajua raha tunapa wanaume tukihongwa na mwanamke
Alaf mwanamke mwenyewe ana mihela kama shem wangu Cute Wife
ni dalili mbayaa kabisaa hii.
Wee hebu pepo litoke, sio mchumba angu naemjua mie huyu.

Khaaaah
 
Back
Top Bottom