sina boss mavi wa hivyoo banaaa Boss wangu ni mzito sana



sasa unaogopa nini??Pa kuweka napajuaaaHilo bundles liko wapiii? Mbna silioni mie?
Khaaaah makubwaaa.
hii ID na ofisini navyo heshimika.. dah 😅😅😅😅 itakuwa kivumbi.. napewa maua sanasasa unaogopa nini??
Chief unataka kunigombanisha sasaKile cha miezi mitatu kwa Cute Wife kimekamilika chief.
hebu njoo pm unieleweshe kwa kweli sikuelewi![]()





punguza hasira utakua mweusi😂Kifupi ni WABAYA japo sijazaa ila sio wazuri pale wana iPhone 7 plus sasa kwenye tecno sijui watatokaje achilia live
Hapana WABAYA WABAYA WABAYA Mxxiewwww
Pa kuweka napajuaaa
Nimeshaweka we check tu



lini ilikua? Sasa ukila ban na pm yangu hujafungua inakuaje hapo hahaMimi naingiaga live ushawahi kusikia sauti yangu?? Me nikishapandisha majini sijali naingia live sio shida zangu kabisaaaa!!! Muulize Kantri akupe habari zangu
Na siku nikilewa nawarukia hewani na ndio siku ya kula ban ya kwanza humu![]()
Shem nasubiri mzigo wangu tu.shem hana baya kwanza ananidai kesho namtumia vocha ya elfu 10 nilimuahidi sio kila siku agawe tyuuu!!!
Naomba ulalee uduguuu, sitakiii kuona unalumbana na watu humu. Itaonekana wee ndo mgomvi.Kifupi ni WABAYA japo sijazaa ila sio wazuri pale wana iPhone 7 plus sasa kwenye tecno sijui watatokaje achilia live
Hapana WABAYA WABAYA WABAYA Mxxiewwww
punguza hasira utakua mweusi![]()



Chief unataka kunigombanisha sasa
Shauri yako![]()


hata usijali kesho nikumbushe nimwambie dogo anitumie nikutumie shem wala usijaliUduguuu usimpee huyooo, itume kwanguu.shem hana baya kwanza ananidai kesho namtumia vocha ya elfu 10 nilimuahidi sio kila siku agawe tyuuu!!!
Asante shem wanguhata usijali kesho nikumbushe nimwambie dogo anitumie nikutumie shem wala usijali
Kwaiyo ukataka utoe hints ajipigie mishindo hahahuyo shouzzz hajui hata, go on nikitoa mie uhakika, km mie muongo wee hayaa.
Umeshakuja kuchafua hali ya hewa kivuruge kwa kuniharibia sasa🤣🤣🤣Uduguuu usimpee huyooo, itume kwanguu.
Yaan ukimpaaa ntakubondaaaa wee.
Usimpeeee, usimpeeee usimpeeee.