Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi naingiaga live ushawahi kusikia sauti yangu?? Me nikishapandisha majini sijali naingia live sio shida zangu kabisaaaa!!! Muulize Kantri akupe habari zangu

Na siku nikilewa nawarukia hewani na ndio siku ya kula ban ya kwanza humu
Sasa ukila ban na pm yangu hujafungua inakuaje hapo haha

Sema Jana ulitisha sana
 
Kifupi ni WABAYA japo sijazaa ila sio wazuri pale wana iPhone 7 plus sasa kwenye tecno sijui watatokaje achilia live

Hapana WABAYA WABAYA WABAYA Mxxiewwww
Naomba ulalee uduguuu, sitakiii kuona unalumbana na watu humu. Itaonekana wee ndo mgomvi.

Huyo yuko ktk crew yao, na yuko karibu sana na yeye. Achaa bhana.
 
shem hana baya kwanza ananidai kesho namtumia vocha ya elfu 10 nilimuahidi sio kila siku agawe tyuuu!!!
Uduguuu usimpee huyooo, itume kwanguu.
Yaan ukimpaaa ntakubondaaaa wee.

Usimpeeee, usimpeeee usimpeeee.
 
Back
Top Bottom