National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,176
- 56,199
tufanyaje sasa banaaa weyeee hapa nimekaribishwa na BJ kwanza kimoko cha kwenye gari 😅😅wahuni mnavimba tu😂
tufanyaje sasa banaaa weyeee hapa nimekaribishwa na BJ kwanza kimoko cha kwenye gari 😅😅wahuni mnavimba tu😂
haha Umbea ni sunnah hajjatMimi Nilikopa kausha damu inanihangaisha
mwaka huu mambo ya umbea sio ishuzangu😀
Sio kusutana mkuu tunaambizana ukweli kuna good way ya kuongea na mtu akaelewa lakini unapoona njia iliotumiwa sio sawa kuna muda unatakiwa kuongea au kuwa serious na kuweka joking pembeni***** jf
Vidume live vikisutana dah
Hii iko wapi mzeiya??
Na nipo sana mpk wenye uchungu wazae, wengine ni watu wazima ilifaa waitwe babu ila ukiwaona humu wanachofanya ni aibu!!!![]()






hebu sema kweli.maswaaa 😅😅Hii iko wapi mzeiya??
Bora umekuja wewe ndo msema kweli nakuaminia hebu tuambie naanza kuandika location ya kutokea hap home 😂😂😂majaaa wanazingua kinoma 😅😅😅
that's the life ma nigga, quickie sio za kupuuzia😂tufanyaje sasa banaaa weyeee hapa nimekaribishwa na BJ kwanza kimoko cha kwenye gari 😅😅
Hebu nijuze vyedii nikakopeee, huenda umbea na ufukunyukuu nikaacha mazimaa.Yaan konki iyo ukikopa hata umbea hukumbuki![]()






Sema ame sambaa Sana, nili ona kahama pia.maswaaa 😅😅
😀😀Ila coca unavoshangaahebu sema kweli.
ungejua nilipo na haya mambo yenu naona mapicha picha tu 😅😅😅Bora umekuja wewe ndo msema kweli nakuaminia hebu tuambie naanza kuandika location ya kutokea hap home 😂😂😂
Iyo ukikopa marejesho Kila siku km ni elf kumi ni daily my wangu ukiamka winja winja kutafuta afu kumi ya watu 😀😀😀Hebu nijuze vyedii nikakopeee, huenda umbea na ufukunyukuu nikaacha mazimaa.
![]()
hebu sema kweli.






Kula maisha 😀ungejua nilipo na haya mambo yenu naona mapicha picha tu 😅😅😅
Shangaziiiii lazimaa nishangaeee, wee unaona ni kawaidaa sasa?Ila coca unavoshangaa






Iyo ukikopa marejesho Kila siku km ni elf kumi ni daily my wangu ukiamka winja winja kutafuta afu kumi ya watu![]()





nikakopeee mil 5, umbeaa na ufukunyukuuu baaaaass,nyie kule majungu, muone yatawafikisha wapi na nyumbani nimemuacha wife kalala 😅😅😅Kula maisha 😀
Kwakweli sio kawaida 😀Shangaziiiii lazimaa nishangaeee, wee unaona ni kawaidaa sasa?
![]()
Yani ukikopa milioni 5 baada ya miez miwili ukivaa nguo zinaanguka Kwa kukonda 😂😂😂nikakopeee mil 5, umbeaa na ufukunyukuuu baaaaass,