Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,988
- 48,486
Majungu na masufuria ๐๐๐nyie kule majungu, muone yatawafikisha wapi na nyumbani nimemuacha wife kalala ๐ ๐ ๐
Majungu na masufuria ๐๐๐nyie kule majungu, muone yatawafikisha wapi na nyumbani nimemuacha wife kalala ๐ ๐ ๐
Wanaume wazima matako makubwa na vitambi juu lakini wanavyopenda kujishaua sasa??!!!!
Kumbe kuna ingizo jipya la mashoga wenye vitambi mabonge afu husemi uduguuu pyeeeeee!!!!![]()



uduguuu mbna habari sina? Hii mpyaa kwangu utanilaumu buree.





Njoo Niku kopeshe, tuta lipana kwa mazoezi ya kibinadamu๐๐ค๐ AaliyyahIyo ukikopa marejesho Kila siku km ni elf kumi ni daily my wangu ukiamka winja winja kutafuta afu kumi ya watu ๐๐๐
Una ka ibilisi ka ugomvi si bure๐๐Bro huwezi kuzungumza kwa rumours za kujazwa, leta facts zione kane๐ค.
ila ombi langu vipi ๐ ๐ ๐Majungu na masufuria ๐๐๐
Subir kikao kiishe tutawachanganya wambea waanze moja moja ๐๐ila ombi langu vipi ๐ ๐ ๐
unajifanya umesahahu ๐คฃ๐คฃ
Na ibilisi wangu ndo wewe kigoriii ๐๐Una ka ibilisi ka ugomvi si bure๐๐
Yani ukikopa milioni 5 baada ya miez miwili ukivaa nguo zinaanguka Kwa kukonda![]()




shangaziii mie nataka niache umbea na ufukunyukuu, ila kukonda nehiiiiKukonda ni kma sheria ๐๐shangaziii mie nataka niache umbea na ufukunyukuu, ila kukonda nehiiii
achana nao hao hawana kazi za kufanya banaa.. maisha haya mafupi..๐คฃ๐คฃSubir kikao kiishe tutawachanganya wambea waanze moja moja ๐๐
Dah umenikumbusha mbali ๐๐Yani ukikopa milioni 5 baada ya miez miwili ukivaa nguo zinaanguka Kwa kukonda ๐๐๐
Kwani ni wanaume kweli?Wanaume wazima matako makubwa na vitambi juu lakini wanavyopenda kujishaua sasa??!!!!
Kumbe kuna ingizo jipya la mashoga wenye vitambi mabonge afu husemi uduguuu pyeeeeee!!!!![]()
Uliwah kopa ndugu๐๐๐Dah umenikumbusha mbali ๐๐
uduguuu mbna habari sina? Hii mpyaa kwangu utanilaumu buree.
Ila mie najua JF kuna mashoga wasiojikubali na hali zao. Wapooo tenaa wa kushatooooooo.
![]()








Kwani ni wanaume kweli?
๐๐Wanaume mabinti
relax chief.Sio kusutana mkuu tunaambizana ukweli kuna good way ya kuongea na mtu akaelewa lakini unapoona njia iliotumiwa sio sawa kuna muda unatakiwa kuongea au kuwa serious na kuweka joking pembeni