Selfika na JF: Snap it. Show it

Wewe ni mmoja wao. Alafu hizi mambo nilisema niachane nazo Ila naona mnaandika sana unafki.

Acheni hizi tabia. Haya mambo mengine waachieni wanawake wayafanye. Naamini umenielewa, usitake niwape watu faida
 
Sasa mwanaume aseme Kuna watu Wana mtaka demu wake[emoji848].
[emoji117]Demu nae ana lalamika Kuna watu wanna mtaka bwana wake[emoji848].
[emoji117]For real si utoto huu, Kama hamuwezi kuwataja- kunyweni maji mlale.
Wewe na wenzio wote mna tabia za kike. Alafu unaandika unafki hapa

Naamini umeelewa
 
Wewe ni mmoja wao. Alafu hizi mambo nilisema niachane nazo Ila naona mnaandika sana unafki.

Acheni hizi tabia. Haya mambo mengine waachieni wanawake wayafanye. Naamini umenielewa, usitake niwape watu faida
Kimeumanaaaaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Antonnia shouzzzz ake njoo hapaaa, uduguu wetuu kakutwaa na jamboo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Fanya ukujee ujioneeee manjegekaa ya Selfikaaa, woiiiiiiiii

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kivumbi leo.
 
Wewe ni mmoja wao. Alafu hizi mambo nilisema niachane nazo Ila naona mnaandika sana unafki.

Acheni hizi tabia. Haya mambo mengine waachieni wanawake wayafanye. Naamini umenielewa, usitake niwape watu faida
Mmoja wait Kwenye nini???, Taja sababu Kama kweli kidume.
👉So una zunguka, Kama mbuzi wa kafara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…