Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwakweli ni debate 😀😀
 
Mkuu hao wenzake SI unge wataja, coz naona mna peana attention ya ki jau jau.
👉Mme kua bhana, SI teenagers tena guys.
👉Kama Kuna mtu kazingua mtaje, ila kupigana vijembe nalo ni tatizo kichwani.
👉Pengine watu mna histrionic personality disorder 🤐
 
Guys mnaohangaika niliwaambia mapema kwa mm na cute wife mtatumia nguvu nyingi but haitawezekana. Nipo hapa kurudia tena, she's mine
 
Antonnia shouzzzz ake njoo hapaaa, uduguu wetuu kakutwaa na jamboo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Fanya ukujee ujioneeee manjegekaa ya Selfikaaa, woiiiiiiiii
 
Wewe jamaa umebakiza kilomita chache sana kuvua ubingwa.

Lazima mkubali kuna mambo yanapaswa kufanywa na wanawake, wanaume haitakiwi hata kidogo. Acheni
Halafu USI mwambie bro yangu mshamba_hachekwi ana taka kuuvua ubingwa..
,👉Kwanini aSI vuliwe Dem wako anaye lalamika, the whole fucking day🤔
 
Wewe ni mmoja wao. Alafu hizi mambo nilisema niachane nazo Ila naona mnaandika sana unafki.

Acheni hizi tabia. Haya mambo mengine waachieni wanawake wayafanye. Naamini umenielewa, usitake niwape watu faida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…