Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Unakumbuka siku ile mpk nikamkataza asiwachane?? Ni huu ujinga wao kila mara piem cute kafanya hivi, cute kafanya vile mpk tukaifunga piem yake

Leo sasa pic ya kwanza nashangaa natafutwa kwann umeselfika na nilikukataza khaaaaaa!!!
Ss Antonia akasema sijaona nimtumie nikatuma chap nikafuta, dk 10 hazijafika naonyeshwa screenshot yangu naambiwa tena kazi yako hiyo!!! Na muda huo Kantri alikuwa busy anaangalia mpira wa Man hata hajaingia, sasa najiuliza huyo mwana mtoka pabaya aliyejambwa na mamaake yalimsibu yapi??

Km anamtaka Kantri si atume pic yake atoe maelezo aeleweke!!!! Mimi Kantri alinipenda mwenyewe kabla hata hajanijua nafananaje mwenzao!!! Na alivyoniona ndo katua haelewi lolote wanajichosha tyuuuu
Hee
Sasa wanapeleka picha zako za nini PM Kwa mtu?
Ama ni mapaparazi hai!🤣😂( Kwa sauti ya Cash Money Forever)
......


Nia Yao mgombane ili mimi nisipate zile oda zenu za cake wazungu wa roho
Washindwe aisee🤣
Hamuachani ng'oo.
 
image-2023-08-20-12:19:20-021.jpg

AirPods and samsung buds are overrated
 
Back
Top Bottom