Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 46,408
- 102,434
Asante🤗🤗🤗, National Anthem usije 😁🤒Karibu
Asante🤗🤗🤗, National Anthem usije 😁🤒Karibu
Yameisha ila hao maku vibuyu waache mazoea wengine hatutaki shobo, km umempenda bwana kajimalize mwenyewe piem sio unabeba pic ukajionyeshe wife material kwa kutaka kumuharibia mwingine SHUBHAMIT!!!!
Kilicho Baki ni kuwa uza ukoo na majirani zako😁🤣😂😂Niuzee mara ngapi?
Mpemba alinivua nyumba ya urithi! Sasa najilia upepo tu huku kwa Mathias haha fujo za mjini nimemwachia National Anthem
😅😅😅 ni kama oxygen kwangu.. kukaa mbali napo nitakufaNa huchezi mbali na hizo location.
Kinyerezi,Nitumie location basi [emoji4][emoji4]
Humu pa livyo na majungu sio pa kutoka na mtu 😅😅Kwani mi nime date na mtu🤣😂😂
Ko umesha fika samaki samaki??😁🤣Shida uyo mzee anakazi ya kufuta pm ananiboa sanA
serious 😊😊😊.. usije nitembeza bure aiseeKinyerezi,
Mkuje wote,halafu karibu hapa kuna bar, mtakunywa na soda.Asante[emoji847][emoji847][emoji847], National Anthem usije [emoji16][emoji855]
acha nile raha mie weyeAsante🤗🤗🤗, National Anthem usije 😁🤒
Oyaa IAM outside dude🤒acha nile raha mie weye
[emoji3][emoji3] ni siri ya wawili,hao wanamajungu wanajuaje kama mnadate??Humu pa livyo na majungu sio pa kutoka na mtu [emoji28][emoji28]
Hapana nipo kwangu nimelala mimi leo nimechoka sanaKo umesha fika samaki samaki??😁🤣
Naona una taka kutengeneza Vita ya 2, ujamaa vs ubepari😁😂🤣.Mkuje wote,halafu karibu hapa kuna bar, mtakunywa na soda.
Samaki samaki ipi ?Muhuni alie samaki samaki hapaa.. tujumuike kula vitu vizuri.. leo nina mademu wakaleee wawilii... 😅😅😅
Mwachiluwi
mtu chake
Intelligent businessman 😅😅😅.. unachimba chima na kijana mshamba_hachekwi
Ume hamia wapi😁🤒, siku nikija mjini uni poker🤒Hapana nipo kwangu nimelala mimi leo nimechoka sana
huwa sielewi humu.. ila pa kiwaki sana..[emoji3][emoji3] ni siri ya wawili,hao wanamajungu wanajuaje kama mnadate??
mlimani city.. jackies pamebamba ?Samaki samaki ipi ?
Niko jackies hapa
Don wa nini 🤣🤣🤣Naona una taka kutengeneza Vita ya 2, ujamaa vs ubepari😁😂🤣.
👉Coz National Anthem ni Don, Mimi ni jobless😁.
👉So haziwezi ivaaa😁😁😂🤣, lazima mmoja asepe😂😁🤒
Samahani mkuu, hauchoki kwenda viwanja kila siku???Samaki samaki ipi ?
Niko jackies hapa