Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,988
- 48,486
Haswaa Yani wew kunywa tu Pepsi 🤣🤣🤣umenisuuza rohoSichochei mr vouchaaaa kama umependana na mtu komaeni na Jambo lenu sio kujadili watruuuuu wasiowahuu ili muonekane wasafii😏😏😏🤣🤣🤣🤣!
Haswaa Yani wew kunywa tu Pepsi 🤣🤣🤣umenisuuza rohoSichochei mr vouchaaaa kama umependana na mtu komaeni na Jambo lenu sio kujadili watruuuuu wasiowahuu ili muonekane wasafii😏😏😏🤣🤣🤣🤣!
Mitano tena kwa dogoTimu inazidi kuimarika
Umemuona huyo dogo mjapan wataru endo
Ni balaa jingine
Ngoja tumpe muda
Pole sana!Leo siko vzr kabisa aiseee!! Nia yao nisiselfike ili wabaki wao wa endelee kutisha watu na rangi zao kiboko
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!Masikio yao itakuwa mpawa tupu🤣🤣🤣🤣
Akiyanani watu mna vichambo vya jumla jumla🤣🤣🤣🤣
Yule mzungu ponea yake ni kiswahili hajui
Vichambo vya kizungu havinogi
Mchawi si lazima arogeee mamaaa!!Ni wa kuwasamehe kusemwa hatuogopi tangu hatijazaliwa tunasemwa ila hii ya kumfata mtu humjui kumwambia habari za mtu ambae humjui pia ni uchawi au ni Nini
You must watchMitano tena kwa dogo
Niliangalia juujuu
Kesho ntacheck marudio
😀😀😀Mezayangu Pana sana ila siunajua nduguyako kifua kipana sinaga hizoendelea kupanga ma file mezani hope langu halijakufikia mkuu
Hizi stories zinazotungwa humu za kusisimuaNishawapotezea,maana hawana kazi,kazi yao ni kutunga tu,
Sawa kigoriii😁🤗Unaweza ukaandika kitu ki utani ukashangaa mhusika anachukulia serious usigombanishe😬
🤣🤣🤣Hahhah nimecheka sanaHizi stories zinazotungwa humu za kusisimua
Tukipeleka bongo movie ni tuna hela ndefu
Watungaji wamekwiva sana kwenye mambo ya flash back
Flash forward
Wapo makini sana.
Hahaha Kuna nini Tena mnywani!Unamsema mtu afu anapelekewa kama yalivoooo hadi ya kuhusu Ndugu zako dadeqqqq !! Na majina yotree ya viherehere walipmfata pm anatajiiwaaa👌👌👌
🤣🤣🤣🤣🤣. Huyo mtu kama yupo hapa anajutaMwanaume mwenyewe kila siku anawakana lkn bado hawachoki kujipeleka na vi id fake!!! Nyota zao mbaya nyeusi km rangi zao za mwili
Kwanza Kantri hawapendi wanawake weusi kwa taarifa yao
Anahisi km kafunikwa na usiku wa balaa, ngozi za giza km tunguli za wachawi sio vitu vyake kabisaa
Waendelee tu kutunga na kusambazaNi wa kuwasamehe kusemwa hatuogopi tangu hatijazaliwa tunasemwa ila hii ya kumfata mtu humjui kumwambia habari za mtu ambae humjui pia ni uchawi au ni Nini


Wanaabika vibaya hawajui tuUnamsema mtu afu anapelekewa kama yalivoooo hadi ya kuhusu Ndugu zako dadeqqqq !! Na majina yotree ya viherehere walipmfata pm anatajiiwaaa👌👌👌
Yaani daah, kabisaHizi stories zinazotungwa humu za kusisimua
Tukipeleka bongo movie ni tuna hela ndefu
Watungaji wamekwiva sana kwenye mambo ya flash back
Flash forward
Wapo makini sana.


Sijui kafa huyoYou must watch
Japo tumepigwa red card lkn timu ilifanya vzr,
usisahau kumtafuta huyu msukuma Wigelekelo mwambie arudi kundini
Mie wananchekesha wanavotamani kunipangia cha kuandika cha kukoment Cha kufanya humuu hahaa!!Hizi stories zinazotungwa humu za kusisimua
Tukipeleka bongo movie ni tuna hela ndefu
Watungaji wamekwiva sana kwenye mambo ya flash back
Flash forward
Wapo makini sana.
Ni kuwaacha tu hawna jipyaWaendelee tu kutunga na kusambaza![]()
Hawajui wewe ndo Mkemia wetu MkuuMie wananchekesha wanavotamani kunipangia cha kuandika cha kukoment Cha kufanya humuu hahaa!!
Nitume picha za mimi waweweseke waooo?? Nyieee🤣🤣🤣
Wanataka kunifundisha heshimaaa bwahahahahahahahahah!!! Nipo nimekaa paleeee 👉👉👉!!
Mac allister kalamba redSijui kafa huyo
Mbona hayupo?
Najiuliza Kila siku sijui atakuwa wapi
Hope he is fine
Angalau leo Klopp apumzike matusi😂😂😂
Nani kapewa kadi?