Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Masikio yao itakuwa mpawa tupu🤣🤣🤣🤣
Akiyanani watu mna vichambo vya jumla jumla🤣🤣🤣🤣

Yule mzungu ponea yake ni kiswahili hajui
Vichambo vya kizungu havinogi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!
 
Mwanaume mwenyewe kila siku anawakana lkn bado hawachoki kujipeleka na vi id fake!!! Nyota zao mbaya nyeusi km rangi zao za mwili

Kwanza Kantri hawapendi wanawake weusi kwa taarifa yao
Anahisi km kafunikwa na usiku wa balaa, ngozi za giza km tunguli za wachawi sio vitu vyake kabisaa
🤣🤣🤣🤣🤣. Huyo mtu kama yupo hapa anajuta
 
Hizi stories zinazotungwa humu za kusisimua
Tukipeleka bongo movie ni tuna hela ndefu

Watungaji wamekwiva sana kwenye mambo ya flash back
Flash forward
Wapo makini sana.
Mie wananchekesha wanavotamani kunipangia cha kuandika cha kukoment Cha kufanya humuu hahaa!!
Nitume picha za ajabu mimi waweweseke waooo?? Nyieee🤣🤣🤣
Wanataka kunifundisha heshimaaa bwahahahahahahahahah!!! Nipo nimekaa paleeee 👉👉👉!!
 
Mie wananchekesha wanavotamani kunipangia cha kuandika cha kukoment Cha kufanya humuu hahaa!!
Nitume picha za mimi waweweseke waooo?? Nyieee🤣🤣🤣
Wanataka kunifundisha heshimaaa bwahahahahahahahahah!!! Nipo nimekaa paleeee 👉👉👉!!
Hawajui wewe ndo Mkemia wetu Mkuu

Janjajanja arts watakuambia nini Madam,🤣🤣🤣🤣

Kama mtu hajui kumix hata chemicals usibishane naye
 
Back
Top Bottom