Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Unakumbuka siku ile mpk nikamkataza asiwachane?? Ni huu ujinga wao kila mara piem cute kafanya hivi, cute kafanya vile mpk tukaifunga piem yake

Leo sasa pic ya kwanza nashangaa natafutwa kwann umeselfika na nilikukataza khaaaaaa!!!
Ss Antonia akasema sijaona nimtumie nikatuma chap nikafuta, dk 10 hazijafika naonyeshwa screenshot yangu naambiwa tena kazi yako hiyo!!! Na muda huo Kantri alikuwa busy anaangalia mpira wa Man hata hajaingia, sasa najiuliza huyo mwana mtoka pabaya aliyejambwa na mamaake yalimsibu yapi??

Km anamtaka Kantri si atume pic yake atoe maelezo aeleweke!!!! Mimi Kantri alinipenda mwenyewe kabla hata hajanijua nafananaje mwenzao!!! Na alivyoniona ndo katua haelewi lolote wanajichosha tyuuuu
Volume plzzz mstari wa mwisho nimependa 😀😀
 
Unakumbuka siku ile mpk nikamkataza asiwachane?? Ni huu ujinga wao kila mara piem cute kafanya hivi, cute kafanya vile mpk tukaifunga piem yake

Leo sasa pic ya kwanza nashangaa natafutwa kwann umeselfika na nilikukataza khaaaaaa!!!
Ss Antonia akasema sijaona nimtumie nikatuma chap nikafuta, dk 10 hazijafika naonyeshwa screenshot yangu naambiwa tena kazi yako hiyo!!! Na muda huo Kantri alikuwa busy anaangalia mpira wa Man hata hajaingia, sasa najiuliza huyo mwana mtoka pabaya aliyejambwa na mamaake yalimsibu yapi??

Km anamtaka Kantri si atume pic yake atoe maelezo aeleweke!!!! Mimi Kantri alinipenda mwenyewe kabla hata hajanijua nafananaje mwenzao!!! Na alivyoniona ndo katua haelewi lolote wanajichosha tyuuuu
Wapiii Deeeeeeeeejjjjjjjjayyyy 🕺🕺🤣🤣🤣!!

Mwana mtoka pabayaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤭
 
Unakumbuka siku ile mpk nikamkataza asiwachane?? Ni huu ujinga wao kila mara piem cute kafanya hivi, cute kafanya vile mpk tukaifunga piem yake

Leo sasa pic ya kwanza nashangaa natafutwa kwann umeselfika na nilikukataza khaaaaaa!!!
Ss Antonia akasema sijaona nimtumie nikatuma chap nikafuta, dk 10 hazijafika naonyeshwa screenshot yangu naambiwa tena kazi yako hiyo!!! Na muda huo Kantri alikuwa busy anaangalia mpira wa Man hata hajaingia, sasa najiuliza huyo mwana mtoka pabaya aliyejambwa na mamaake yalimsibu yapi??

Km anamtaka Kantri si atume pic yake atoe maelezo aeleweke!!!! Mimi Kantri alinipenda mwenyewe kabla hata hajanijua nafananaje mwenzao!!! Na alivyoniona ndo katua haelewi lolote wanajichosha tyuuuu
Relax babe, achana nao. Inatosha kwa leo😌❤️
 
haha Aaliyyah achafua hali ya hewa.
Yaani lait wangejua wasingejichosha sinag time na maisha ya mtu kabisa na kama mtu namkwaza nilisema wazi anifate aniambie wapi nilimkosea huenda anakosaraha maskin Kwa ajiliyangu Mimi Sina noma na mtu
Ila ukiamua kuniwekea vikao Huwa inaniuma balaa alaf vikao vya uzushi ni kunivunjia heshima sipend
 
Yaani lait wangejua wasingejichosha sinag time na maisha ya mtu kabisa na kama mtu namkwaza nilisema wazi anifate aniambie wapi nilimkosea huenda anakosaraha maskin Kwa ajiliyangu Mimi Sina noma na mtu
Tatizo lips.

Mimi pia huwa zinanichanganya Sana aise.
 
Unakumbuka siku ile mpk nikamkataza asiwachane?? Ni huu ujinga wao kila mara piem cute kafanya hivi, cute kafanya vile mpk tukaifunga piem yake

Leo sasa pic ya kwanza nashangaa natafutwa kwann umeselfika na nilikukataza khaaaaaa!!!
Ss Antonia akasema sijaona nimtumie nikatuma chap nikafuta, dk 10 hazijafika naonyeshwa screenshot yangu naambiwa tena kazi yako hiyo!!! Na muda huo Kantri alikuwa busy anaangalia mpira wa Man hata hajaingia, sasa najiuliza huyo mwana mtoka pabaya aliyejambwa na mamaake yalimsibu yapi??

Km anamtaka Kantri si atume pic yake atoe maelezo aeleweke!!!! Mimi Kantri alinipenda mwenyewe kabla hata hajanijua nafananaje mwenzao!!! Na alivyoniona ndo katua haelewi lolote wanajichosha tyuuuu
Shem tafadhali inatosha shem
Namuombea huyo mtu msamaha
Yaishe tafadhali shem
 
Back
Top Bottom