Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwakweli midango Yao Haing'ai nyota nyeusi
Kama sufuria la shughuli wanzunguka pm za watu kuchafua wenzao
Jamni eeh mjini nyota

Mwanaume mwenyewe kila siku anawakana lkn bado hawachoki kujipeleka na vi id fake!!! Nyota zao mbaya nyeusi km rangi zao za mwili

Kwanza Kantri hawapendi wanawake weusi kwa taarifa yao
Anahisi km kafunikwa na usiku wa balaa, ngozi za giza km tunguli za wachawi sio vitu vyake kabisaa
 
Unaogopa maneno Madam?
Hata usipochangia mbona utasemwa tu

Maneno yanakutisha?

Binafsi ntaacha kuchangia nikiamua mwenyewe ila si kwa sababu ya maneno ya wapumbavu wachache.
Popote ulipo kunywa kinywajii bili Kwangu pulllllllliiiiiiiiizzzzz!! ☺️☺️☺️😊!!

Binafsi maneno yahumu yangekua sumu ningeshakufaga kitrambo sanaaa!!!
 
Pole boss wangu
Na wewe mwenye taasis zake nyeti yanakupeleka? Acha utani basi😀
Huku kwema kabisa
Nilitamani nikuombe kaselfie sasa naona kuna mndazi ameshachafua hali ya hewa hapa
Yaani wote tu Dunia inatupeleka mbio mkuu, kuhusu selfie kweli nilipanga kushare ila baada ya kuona hali ya hewa imechafuka nikatoka speed kuzifungia kabatini😀😀 watu siyo wastaarabu
 
Back
Top Bottom