Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wee tuishi humumuhumu tyuuuu kila mmoja anasemwa sana humuuu sema japo nahisi mie ndio usiseme kabesaaa [emoji23][emoji23][emoji16]!
Sema mie sijareee wala neneeee! [emoji2960]
Sijali,[emoji23][emoji23]kama maneno yangekuwa risasi,basi wewe wangekuwa washakushuut
 
Sijali,[emoji23][emoji23]kama maneno yangekuwa risasi,basi wewe wangekuwa washakushuut
Kwakweli uzuri maneno yao najua sio ya kweliiii Ndiomana walaaaa sina habareeeee naooo🤸🤸🕺🕺🕺!!
 
Unaogopa maneno Madam?
Hata usipochangia mbona utasemwa tu

Maneno yanakutisha?

Binafsi ntaacha kuchangia nikiamua mwenyewe ila si kwa sababu ya maneno ya wapumbavu wachache.
Nishawapotezea,maana hawana kazi,kazi yao ni kutunga tu,
 
Unaogopa maneno Madam?
Hata usipochangia mbona utasemwa tu

Maneno yanakutisha?

Binafsi ntaacha kuchangia nikiamua mwenyewe ila si kwa sababu ya maneno ya wapumbavu wachache.
Nishawapotezea,maana hawana kazi,kazi yao ni kutunga tu,
 
Back
Top Bottom