Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,912
- 136,633
Nishawapotezea,maana hawana kazi,kazi yao ni kutunga tu,Unaogopa maneno Madam?
Hata usipochangia mbona utasemwa tu
Maneno yanakutisha?
Binafsi ntaacha kuchangia nikiamua mwenyewe ila si kwa sababu ya maneno ya wapumbavu wachache.


Bichwa ana kupindua kwa kantri