YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
Wasamehe tu
Nimekasirika liyah ujue, mambo ya ajabu hayo ya kuchukua pic na kusambaza kwa wengine. Watu wataogopa kuselfika
Wasamehe tu
Long time no see, madam uko sayari hii🤔??.Hee yamekua haya tena, mnafanya jukwaa lipoteze maana sasa
Yaani siyo vizuri tutaanza kuogopa kushare pics sasaKunawatu wanaharibu jukwaa Yani hii Tabia imeota mizizi
Aisee![]()
Mambo 🤗Hebu tulia 😀
Kwakweli midango Yao Haing'ai nyota nyeusiHawamtaki wao wanamtaka Kantri tyuuu ndio anawauma km wamemzaa wao!!!! Wanaume wamejaa kibao hawawaoni mpk babe wangu
Na kasema haniachi wanavyotuma pic ndio wanazidisha kasi ya KUNIPENDA shenzy zenu
Acha kiherehere naweee 😏😏🤠🤣!Wame tuma kweli ??, Au ndo una histrionic personality disorder 🤣😂😂🤣
Hee si ndiyo namaanisha hao walioshare hizo picha za watu sehemu nyingine wanaharibu maana ya jukwaa, umequote wrong labdaWaliopoteza maana hao waliochukua pic zisizowahusu na kupeleka kusikowahusu!!! Au Wewe umeona ni vizuri alivyofanya?? Ingekuwa pic yako ungejisikiaje??![]()
Aisee isije kuwa histrionic personality disorder, iko kiwango Cha juu🤣😂😂Nimekasirika liyah ujue, mambo ya ajabu hayo ya kuchukua pic na kusambaza kwa wengine. Watu wataogopa kuselfika
😂😂😂😁😁😁😁Kwakweli midango Yao Haing'ai nyota nyeusi
Kama sufuria la shughuli wanzunguka pm za watu kuchafua wenzao 😀😀😀
Jamni eeh mjini nyota 🤣🤣🤣🤣
Huu uzi,uone tu kama ulivyo,sina hamu mieInahuzunisha kwakweli

Wame tuma kweli ??, Au ndo una histrionic personality disorder![]()




Taratibu huyo ana histrionic personality disorder 🤣😂😁😁Hee si ndiyo namaanisha hao walioshare hizo picha za watu sehemu nyingine wanaharibu maana ya jukwaa, umequote wrong labda
Mm naichungulia sikuhiz siipendi Kam mwanzo watu wanaroho mbaya sanaSelfika nilikuwa naipenda, baada tu ya kusikia maneno mabaya kunihusu, nakajihepusha nayo kistaili
Unajua hili swala Ina bidi tuwa alike cia,mossad na kgb.Nawe kwenda ushawahi kuniona naongelea issue km hii?? Watu waache tabia za kifala sio vizuri tena kashindwa kusave kajua nitafuta faster likaamua kuscreenshot ili liliwahi kupeleka![]()
Basi nipende Mimi🤗😁Mm naichungulia sikuhiz siipendi Kam mwanzo watu wanaroho mbaya sana
Mrembo umepotea sanaaYaani siyo vizuri tutaanza kuogopa kushare pics sasa
Yani watu ambao nyota Zao za kaniki amani hawana yani wanatamani mtu uharibikiwe tu😂😂😂😁😁😁😁
Nipo mkuu dunia inanipeleka mbio(ubusy) habari ya huko ulipo?Mrembo umepotea sanaa
Nimekumiss hadi basi
Wee tuishi humumuhumu tyuuuu kila mmoja anasemwa sana humuuu sema japo nahisi mie ndio usiseme kabesaaa 😂😂😁!Selfika nilikuwa naipenda, baada tu ya kusikia maneno mabaya kunihusu, nakajihepusha nayo kistaili