Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hapo kwa Kantri nishalia sana na maombi ya novena juu!!! Ss hivi nilisema siongei kitu chochote, nitakua nakuangalia tu!!

Nawe unaliaga na nani humu? 😂😂😂
Naliaga acha kabisa
Nikiona battle ntashindwa naanza mapema kulia

Jamaa mdhaifu mno kwenye machozi.
Yupo busy anapambana na hali yake kutafuta pesa..hashindi humu
Atashindaje huku 🤣mwishowe awe Mbea bure 😂
 
Naliaga acha kabisa
Nikiona battle ntashindwa naanza mapema kulia

Jamaa mdhaifu mno kwenye machozi.
Yupo busy anapambana na hali yake kutafuta pesa..hashindi humu
Atashindaje huku 🤣mwishowe awe Mbea bure 😂
Me naliaga mpk nakuwa mwekundu, hata simu sipokei!!!! Nitashinda nalewa, Hasira zikiisha namtafuta babe wangu nitajituma hiyo siku km shangingi la magomeni 😂😂😂😂

Me situnzi hasira za muda mrefu napenda sana kucheka, niikimmiss na yale maujinga yetu basi namtafuta
 
Me naliaga mpk nakuwa mwekundu, hata simu sipokei!!!! Nitashinda nalewa, Hasira zikiisha namtafuta babe wangu nitajituma hiyo siku km shangingi la magomeni 😂😂😂😂

Me situnzi hasira za muda mrefu napenda sana kucheka, niikimmiss na yale maujinga yetu basi namtafuta
Eti shangingi la magomeni🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom