YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
Hapo sweet Mangi umenifurahisha na iwe hivo 🥰🥰🥰Nimepata counselling kutoka kwa cute, hutaona tena nafanya hivyo. Nilipokosea I'm sorry![]()
Hapo sweet Mangi umenifurahisha na iwe hivo 🥰🥰🥰Nimepata counselling kutoka kwa cute, hutaona tena nafanya hivyo. Nilipokosea I'm sorry![]()
iPhone 14 ipo babe Usijali 😂😂😂Achana nae, anachokonoa ili nifunguke but amechelewa sana. Hawanipati tena
Na iPhone 14 nimesamehe, japo roho inauma![]()
😂😂😂 Unatoa siri zangu sasa?!! Ndio uache ili nisilie tenaSirudii tena dada, nilipata counselling ya nguvu nusu mtu alie
So yameisha, nawapuuza
Weee usinambie.....mbona mie najitafuniaga tuMwenzio babe yuko mbali, vinatiaga hamu hivo 😀😀😀
Endelea km ule muujiza haujatokea 😂😂😂Weee usinambie.....mbona mie najitafuniaga tu
YeahHapo sweet Mangi umenifurahisha na iwe hivo![]()
iPhone 14 ipo babe Usijali![]()

Haijirudii tenaUnatoa siri zangu sasa?!! Ndio uache ili nisilie tena
Kwa kweliSirudii tena dada, nilipata counselling ya nguvu nusu mtu alie
So yameisha, nawapuuza
🤣🤣🤣🤣😂😂😂 Unatoa siri zangu sasa?!! Ndio uache ili nisilie tena
Inasikitisha sanaNimeelewa, Ila nilitaka kutoa elimu kwa wanaume wote wambea wa humu na umbea wanaofanya ili wajirekebishe na kujifunza maana ni aibu kubwa sana.
But haiwezekani tena
AfadhaliNimepata counselling kutoka kwa cute, hutaona tena nafanya hivyo. Nilipokosea I'm sorry![]()
Nimwambie dogo asiende kupeleka hela kwa Nengatronix?? 😂😂😂
Yeah lenye mafwezaaaa yake ya pensheninaona unawinda li sugar daddy😂
Hapo kwa Kantri nishalia sana na maombi ya novena juu!!! Ss hivi nilisema siongei kitu chochote, nitakua nakuangalia tu!!🤣🤣🤣🤣
Kumbe unaliaga?
Wewe kama mimi..
Mwanaume ukitaka umuweze lia.
Yaani hutumii nguvu,mwenyewe analainika.
Subutuuuuu nakula kamoja kwa afyaaEndelea km ule muujiza haujatokea 😂😂😂
😂😂😂😂Inasikitisha sana
Halafu wanaume ndo wambea sana kuliko hata sisi dada zao
BFF naomba kwa hili nikachekee chemba friji langu haligandishi 😂😂😂😂😂😂Subutuuuuu nakula kamoja kwa afyaa
Ntakupasua 🤣🤣🤣🤣🤣 we jishaueBFF naomba kwa hili nikachekee chemba friji langu haligandishi 😂😂😂😂😂😂
Nimekumbuka mecheka sana’a
Ni aibu kubwa kwa wanaume kuwa wambea kukaa katikati ya dadaz na ku-gossipInasikitisha sana
Halafu wanaume ndo wambea sana kuliko hata sisi dada zao