Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,194
- 33,564
Umegeuza story?Kabisaa ila kudaiana iPhone kwenye bet za Man U sitaki![]()
Haya tutayamaliza basi, yaishe tu hapa
Umegeuza story?Kabisaa ila kudaiana iPhone kwenye bet za Man U sitaki![]()
Battle yake na yangu alishindwa, akawa analia kwa modes wanitoe JF mazima, akabidili had jina, afu akarudisha tena hili.Mumeo huyu bahari yake naijua
Kuanzia kule siasani alivyokuwa anawapiga spana wapinzani enzi za mwendazake
Nilikuwa nafurahi balaa maana nilikuwa diehard fan wa Mzee.
Kuna battle nilikuta anapambana
Ya Coca,na nyingine
Nyie
Ule ni ukaitili wa kijinsia
Nilicheka nikataka kuzimia.
Mumeo huyu bahari yake naijua
Kuanzia kule siasani alivyokuwa anawapiga spana wapinzani enzi za mwendazake
Nilikuwa nafurahi balaa maana nilikuwa diehard fan wa Mzee.
Kuna battle nilikuta anapambana
Ya Coca,na nyingine
Nyie
Ule ni ukaitili wa kijinsia
Nilicheka nikataka kuzimia.





Nimekonda sanaUpo vizuri sana dada, natural kabisa. Kafigure flan hivi, kama flaviana matata
Huko siasani ndio penyewe, huku bana ukweli sipawezi cute wife ndio kila mara ananitaka nibaki. Huku pako kidada dada sanaMumeo huyu bahari yake naijua
Kuanzia kule siasani alivyokuwa anawapiga spana wapinzani enzi za mwendazake
Nilikuwa nafurahi balaa maana nilikuwa diehard fan wa Mzee.
Kuna battle nilikuta anapambana
Ya Coca,na nyingine
Nyie
Ule ni ukaitili wa kijinsia
Nilicheka nikataka kuzimia.
Jamaa alikuwa mwamba sana.Huko kwa wapinzani yuko vizuri sema wivu wake ss hivi ndo unamfanya kaacha kuwapiga spana ila ni mtu na nusu
Me mwenyewe napewa makavu nje ya jf basi tu namvumilia nifanyeje![]()
Umegeuza story?![]()
Haya tutayamaliza basi, yaishe tu hapa





Hata mimi nilishangaa kukuona hukuHuko siasani ndio penyewe, huku bana ukweli sipawezi cute wife ndio kila mara ananitaka nibaki. Huku pako kidada dada sana
Huko siasani ndio penyewe, huku bana ukweli sipawezi cute wife ndio kila mara ananitaka nibaki. Huku pako kidada dada sana



Wivu wako ndio unaokufanya upo huku, sema ukweliKumbe!😂😂😂anakulinda🤣🤣🤣Wivu wako ndio unaokufanya upo huku, sema ukweli
Coca mbona mm nimekutakia heri kwenye maisha yako na mume wako. YalishaishaBattle yake na yangu alishindwa, akawa analia kwa modes wanitoe JF mazima, akabidili had jina, afu akarudisha tena hili.
Coca mbona mm nimekutakia heri kwenye maisha yako na mume wako. Yalishaisha
Sasa hivi nakupenda sana tu


basi sawaaa.Jamaa alikuwa mwamba sana.
Siku hizi amepoa.
Enzi za Magu zile
Nilikuwa nikitaka kucheka naingia siasani
Najua ntamsoma jamaa,,walikuwepo na wengine wengine yaani ni mtifuano.





😂😂😂Battle yake na yangu alishindwa, akawa analia kwa modes wanitoe JF mazima, akabidili had jina, afu akarudisha tena hili.
Wee vile vichambo🤣🤣🤣🤣🤣Akiona umemshinda anaanza kutukana ki hip hop
Huyu mtu ni mtata kuishi naye unatakiwa nawe ziruke kichwani
Mods walishambuliwa hatariHasa Melo
Na wote tunaokuqoute Kuna jamaa alisema akitukamata ni kutandika fimbo![]()




nikikumbukaa zamaniii, aaaah now nimestaafu bhanaaa.Sasa hivi nimekuwa wa kuingia sijui selfika, mara mahusiano, sijui na wapi tena.Huko kwa wapinzani yuko vizuri sema wivu wake ss hivi ndo unamfanya kaacha kuwapiga spana ila ni mtu na nusu
Me mwenyewe napewa makavu nje ya jf basi tu namvumilia nifanyeje![]()
Wee vile vichambo
Kuna watu siyo wa kujichanganya kuingia nao battle
Anakuchamba mzima mzima![]()






Sasa hivi nimekuwa wa kuingia sijui selfika, mara mahusiano, sijui na wapi tena.
Sema lile jukwaa la siasa sasa hivi kuna Vimeo wengi sana, bavicha itakua wanatumia robots. Ukiwamaliza 100 leo, kesho wanarudi 200.
Kasoro sijaona dada angu, upo vizuri sana. Wife material flani hiviiNimekonda sana
Hadi namkaribia Flavi
Aisee,ngoja niongeze lishe
Asante Mkuu
Sisi walokole Old school hata mikufu na earrings kwetu ni anasa
Toa na kasoro kidogo Mkuu.