Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mumeo huyu bahari yake naijua

Kuanzia kule siasani alivyokuwa anawapiga spana wapinzani enzi za mwendazake
Nilikuwa nafurahi balaa maana nilikuwa diehard fan wa Mzee.

Kuna battle nilikuta anapambana
Ya Coca,na nyingine
Nyie
Ule ni ukaitili wa kijinsia
Nilicheka nikataka kuzimia.
Battle yake na yangu alishindwa, akawa analia kwa modes wanitoe JF mazima, akabidili had jina, afu akarudisha tena hili.
 
Mumeo huyu bahari yake naijua

Kuanzia kule siasani alivyokuwa anawapiga spana wapinzani enzi za mwendazake
Nilikuwa nafurahi balaa maana nilikuwa diehard fan wa Mzee.

Kuna battle nilikuta anapambana
Ya Coca,na nyingine
Nyie
Ule ni ukaitili wa kijinsia
Nilicheka nikataka kuzimia.

Huko kwa wapinzani yuko vizuri sema wivu wake ss hivi ndo unamfanya kaacha kuwapiga spana ila ni mtu na nusu

Me mwenyewe napewa makavu nje ya jf basi tu namvumilia nifanyeje
 
Mumeo huyu bahari yake naijua

Kuanzia kule siasani alivyokuwa anawapiga spana wapinzani enzi za mwendazake
Nilikuwa nafurahi balaa maana nilikuwa diehard fan wa Mzee.

Kuna battle nilikuta anapambana
Ya Coca,na nyingine
Nyie
Ule ni ukaitili wa kijinsia
Nilicheka nikataka kuzimia.
Huko siasani ndio penyewe, huku bana ukweli sipawezi cute wife ndio kila mara ananitaka nibaki. Huku pako kidada dada sana
 
Huko kwa wapinzani yuko vizuri sema wivu wake ss hivi ndo unamfanya kaacha kuwapiga spana ila ni mtu na nusu

Me mwenyewe napewa makavu nje ya jf basi tu namvumilia nifanyeje
Jamaa alikuwa mwamba sana.
Siku hizi amepoa.


Enzi za Magu zile 🤣🤣🤣
Nilikuwa nikitaka kucheka naingia siasani
Najua ntamsoma jamaa,,walikuwepo na wengine wengine yaani ni mtifuano.
 
Huko kwa wapinzani yuko vizuri sema wivu wake ss hivi ndo unamfanya kaacha kuwapiga spana ila ni mtu na nusu

Me mwenyewe napewa makavu nje ya jf basi tu namvumilia nifanyeje
Sasa hivi nimekuwa wa kuingia sijui selfika, mara mahusiano, sijui na wapi tena.

Sema lile jukwaa la siasa sasa hivi kuna Vimeo wengi sana, bavicha itakua wanatumia robots. Ukiwamaliza 100 leo, kesho wanarudi 200.
 
Back
Top Bottom