Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Jamaa alikuwa mwamba sana.
Siku hizi amepoa.


Enzi za Magu zile
Nilikuwa nikitaka kucheka naingia siasani
Najua ntamsoma jamaa,,walikuwepo na wengine wengine yaani ni mtifuano.
Sasa hivi chadema wanatumia robots, Leo ukiwaweza 100 kesho wanarudi wengine wapya 200.

Ni kazi haswaa, alafu sasa hivi majukumu ni mengi muda mchache.
 
Sasa hivi chadema wanatumia robots, Leo ukiwaweza 100 kesho wanarudi wengine wapya 200.

Ni kazi haswaa, alafu sasa hivi majukumu ni mengi muda mchache.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Akina Erythrocyte
Yupo Muda wote anatoa taarifa za mikutano ya kina Mdude.
Mara Mdude kagoma kula lockup😂🤣
 
Hata mimi nilishangaa kukuona huku

Siyo pigo zako kabisa.

Hii I'd nimezoea kuisoma siasani tu.

Hebu selfika kidogo Mkuu.
Kuja huku ni huyu wa kuitwa cute wife ndio alinileta, nimeingia huku nakutana na vipenseli, mara sijui aunt wa kipenseli, ni tafrani tu. Kila nikitaka kutoka huku cute wife ananizuia

Hapo kwenye selfika ndio sipawezi kabisa. Mimi huku sipo kutafuta demu
 
Kuja huku ni huyu wa kuitwa cute wife ndio alinileta, nimeingia huku nakutana na vipenseli, mara sijui aunt wa kipenseli, ni tafrani tu. Kila nikitaka kutoka huku cute wife ananizuia

Hapo kwenye selfika ndio sipawezi kabisa. Mimi huku sipo kutafuta demu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Naona mnataka muanze tena😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom