Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,194
- 33,564
Sasa hivi chadema wanatumia robots, Leo ukiwaweza 100 kesho wanarudi wengine wapya 200.Jamaa alikuwa mwamba sana.
Siku hizi amepoa.
Enzi za Magu zile
Nilikuwa nikitaka kucheka naingia siasani
Najua ntamsoma jamaa,,walikuwepo na wengine wengine yaani ni mtifuano.
Ni kazi haswaa, alafu sasa hivi majukumu ni mengi muda mchache.

