Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mm nahusikaje?? Aliyebaki hapo ni nikkki kwa sasa hawezi kupanda jukwaani kwenye show
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwann asipandee? Akapanda mwana Fa ni naibu waziri, sembuse mkuu wa wilayaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nikki atakua na mama zurii kwa dharura tyuuh.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwann asipandee? Akapanda mwana Fa ni naibu waziri, sembuse mkuu wa wilayaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nikki atakua na mama zurii kwa dharura tyuuh.

Udugu tuheshimiane huyo nitakuwa naye me [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwann asipandee? Akapanda mwana Fa ni naibu waziri, sembuse mkuu wa wilayaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nikki atakua na mama zurii kwa dharura tyuuh.
Mama alimsema, si unajua tena sauti ya mama? Hiyo ya mwanafa ilikua special case
 
We sema bana st Anne hana shida [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mumeo huyu habari yake naijua🤣🤣🤣

Kuanzia kule siasani alivyokuwa anawapiga spana wapinzani enzi za mwendazake😂
Nilikuwa nafurahi balaa maana nilikuwa diehard fan wa Mzee.

Kuna battle nilikuta anapambana🤣🤣
Ya Coca,na nyingine
Nyie🤣🤣🤣
Ule ni ukaitili wa kijinsia
Nilicheka nikataka kuzimia.
 
Back
Top Bottom