cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,172
Nguvu sina tena, amenichapa blackmail moja kali sana




Kuchamba sijui dada angu, mm najua kuweka facts. Facts kwa wanawake ndio husema kuchambaZisije zikanifrustrate
Maana unajuaga kuchamba![]()
Akishindwa aseme mm pia naweza msaidia kuipata fasta
Mm nahusikaje?? Aliyebaki hapo ni nikkki kwa sasa hawezi kupanda jukwaani kwenye showWee na nani?![]()
Mchagga na mparee![]()








Mm nahusikaje?? Aliyebaki hapo ni nikkki kwa sasa hawezi kupanda jukwaani kwenye show




kwann asipandee? Akapanda mwana Fa ni naibu waziri, sembuse mkuu wa wilayaa? 




Aliyebaki kupanda jukwaani ni ngumu, Kuna siku mama alimuona jukwaani anachana akamuambia muda anapata wapi kupanda jukwaani. So imebaki story....Kuna mmoja umemuacha hapo![]()
Mm nahusikaje?? Aliyebaki hapo ni nikkki kwa sasa hawezi kupanda jukwaani kwenye show








Yupo vizuri sana, natural kabisa. Figure flani hivii kaliWe sema bana st Anne hana shida![]()
kwann asipandee? Akapanda mwana Fa ni naibu waziri, sembuse mkuu wa wilayaa?
Nikki atakua na mama zurii kwa dharura tyuuh.





Aliyebaki kupanda jukwaani ni ngumu, Kuna siku mama alimuona jukwaani anachana akamuambia muda anapata wapi kupanda jukwaani. So imebaki story....




MxxiewwwwWeehKuchamba sijui dada angu, mm najua kuweka facts. Facts kwa wanawake ndio husema kuchamba
Chugga tunaita kusanua
Yupo vizuri sana, natural kabisa. Figure flani hivii kali



sasa si hivo ulikuwa unaogopa nini kumpa sifa zake mpishi wetu wa cakeSisi tuliohustle hatuna kwereeTutamatch vizuri
Ila wapare nyie wabahili, ukija uchagani hapo nisikitike![]()
Sisi tuliohustle hatuna kweree





Mama alimsema, si unajua tena sauti ya mama? Hiyo ya mwanafa ilikua special casekwann asipandee? Akapanda mwana Fa ni naibu waziri, sembuse mkuu wa wilayaa?
Nikki atakua na mama zurii kwa dharura tyuuh.
Mumeo huyu habari yake naijua🤣🤣🤣We sema bana st Anne hana shida![]()
Mama alimsema, si unajua tena sauti ya mama? Hiyo ya mwanafa ilikua special case




makubwaaaa, sikua najua hataUpo vizuri sana dada, natural kabisa. Kafigure flan hivi, kama flaviana matataWeeh
Battle zako huwa za moto
Vumbi zinasambaa
Nipe tu hizo marks
Nione narekebisha wapi.