Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mumeo huyu bahari yake naijua[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kuanzia kule siasani alivyokuwa anawapiga spana wapinzani enzi za mwendazake[emoji23]
Nilikuwa nafurahi balaa maana nilikuwa diehard fan wa Mzee.

Kuna battle nilikuta anapambana[emoji1787][emoji1787]
Ya Coca,na nyingine
Nyie[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ule ni ukaitili wa kijinsia
Nilicheka nikataka kuzimia.
Battle yake na yangu alishindwa, akawa analia kwa modes wanitoe JF mazima, akabidili had jina, afu akarudisha tena hili.
 
Mumeo huyu bahari yake naijua[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kuanzia kule siasani alivyokuwa anawapiga spana wapinzani enzi za mwendazake[emoji23]
Nilikuwa nafurahi balaa maana nilikuwa diehard fan wa Mzee.

Kuna battle nilikuta anapambana[emoji1787][emoji1787]
Ya Coca,na nyingine
Nyie[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ule ni ukaitili wa kijinsia
Nilicheka nikataka kuzimia.

Huko kwa wapinzani yuko vizuri sema wivu wake ss hivi ndo unamfanya kaacha kuwapiga spana ila ni mtu na nusu

Me mwenyewe napewa makavu nje ya jf basi tu namvumilia nifanyeje [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mumeo huyu bahari yake naijua[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kuanzia kule siasani alivyokuwa anawapiga spana wapinzani enzi za mwendazake[emoji23]
Nilikuwa nafurahi balaa maana nilikuwa diehard fan wa Mzee.

Kuna battle nilikuta anapambana[emoji1787][emoji1787]
Ya Coca,na nyingine
Nyie[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ule ni ukaitili wa kijinsia
Nilicheka nikataka kuzimia.
Huko siasani ndio penyewe, huku bana ukweli sipawezi cute wife ndio kila mara ananitaka nibaki. Huku pako kidada dada sana
 
Huko kwa wapinzani yuko vizuri sema wivu wake ss hivi ndo unamfanya kaacha kuwapiga spana ila ni mtu na nusu

Me mwenyewe napewa makavu nje ya jf basi tu namvumilia nifanyeje [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa alikuwa mwamba sana.
Siku hizi amepoa.


Enzi za Magu zile 🤣🤣🤣
Nilikuwa nikitaka kucheka naingia siasani
Najua ntamsoma jamaa,,walikuwepo na wengine wengine yaani ni mtifuano.
 
Jamaa alikuwa mwamba sana.
Siku hizi amepoa.


Enzi za Magu zile [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nilikuwa nikitaka kucheka naingia siasani
Najua ntamsoma jamaa,,walikuwepo na wengine wengine yaani ni mtifuano.

Akiona umemshinda anaanza kutukana ki hip hop [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu mtu ni mtata kuishi naye unatakiwa nawe ziruke kichwani
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Mods walishambuliwa hatari [emoji1787]Hasa Melo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na wote tunaokuqoute Kuna jamaa alisema akitukamata ni kutandika fimbo[emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nikikumbukaa zamaniii, aaaah now nimestaafu bhanaaa.
Yaan ilikua patashikaa mnooo.
 
Huko kwa wapinzani yuko vizuri sema wivu wake ss hivi ndo unamfanya kaacha kuwapiga spana ila ni mtu na nusu

Me mwenyewe napewa makavu nje ya jf basi tu namvumilia nifanyeje [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa hivi nimekuwa wa kuingia sijui selfika, mara mahusiano, sijui na wapi tena.

Sema lile jukwaa la siasa sasa hivi kuna Vimeo wengi sana, bavicha itakua wanatumia robots. Ukiwamaliza 100 leo, kesho wanarudi 200.
 
Back
Top Bottom