Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Unaona sasa kama huyo haijulikani analala saa ngapi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Anasemaga Chadema ni mpango wa Mungu
Eti kuna haja ya kufungua TV yao

Sema mimi huyu jamaa,sijui dada
Ananichekesha uwasilishaji wake.

Ninachompendea hatukani matusi kama wenzie walioshindikanika utadhani kwao hawajalelewa na watu wazima.
 

Anasemaga Chadema ni mpango wa Mungu
Eti kuna haja ya kufungua TV yao

Sema mimi huyu jamaa,sijui dada
Ananichekesha uwasilishaji wake.

Ninachompendea hatukani matusi kama wenzie walioshindikanika utadhani kwao hawajalelewa na watu wazima.
Hao sasa hivi wana muda mwingi sana, kuanzia saa 12 asubuhi hadi saa 9 usiku wapo macho. Sisi wengine majukumu yamezidi
 
Back
Top Bottom