YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,153
- 36,376
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7] ASAP beiibey
Chap
Uyo nenda nae pole pole ana majin ya kifipaShem wako Cute Wife anazingua anakwepa kuja kulala kwenye bed kama hii
Nimeweka godoro chini ata wawili hatulali vzr[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani unalala wapi??
Uyo nenda nae pole pole ana majin ya kifipa
Ya kifipa yaliingilia kati baada ya kuona ya kizaramo yanashindwa kazi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mwehu wewe!! Nina majini ya kizaramo
Nimeweka godoro chini ata wawili hatulali vzr
Ndio maana nasema ngoja nitafute hela maisha hayana huruma kabisa haya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mxxiewwww!!! Sasa si ulitoe ujue unalala mavumbini km nyoka
Ya kifipa yaliingilia kati baada ya kuona ya kizaramo yanashindwa kazi
Ndio maana nasema ngoja nitafute hela maisha hayana huruma kabisa haya
Ahahha hao waongo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Umenikumbusha kitu aiseee!!
Maza mdogo muabeshi, sasa alikuwa na bwanaake mfipa. Basi bana kuna mashosti zake wakawa wanatafuta mganga wana mambo yao uko makazini kwao.
Maza si kapiga simu kaweka loudspeaker eeeee!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] si nikasikia sauti ya bamdogo eti kapandisha majini kwenye simu anasema wale wadada mwaka haushi wanafukuzwa kazini wajitahidi wamuachie pesa mamdogo ya kununua vifaa vya kazi ili aje kuwafanyia kazi yao. Basi bamdogo anawaaga kwa kifipa aiseee!!!! Nilishindwa kuvumilia nilichekaaaaa mamdogo akakata simu faster alinikata jicho hilo la mwana ukome[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Toka hapo siwaamini wafipa na nikimuona bamdogo nakauka kucheka
Ahahha hao waongo
Ueye na mkewe maisha yao ninya utaoeli kabisaAlikuwa anawatapeli huyo bamdogo ni hatari kuna kisa chake cha utapeli kiliwahi kutokea Arusha mpk media zilitangaza. Nilicheka sanaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema kweli.Jamani am single again
Natafuta babe [emoji4]
Unatafuta kurogwa vibayaaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hana shida
Ameniruhusu kuongeza mwingine
Karibu kipenzi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo sasa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Baadae utasema nilishika simu yako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahNilikuwa nakulindia mumeo dada [emoji23][emoji23][emoji23]
Afu me bi mdogo mpole sina shida yeyote!! Tupange zamu ya kumpa huduma mume wetu [emoji2222][emoji2222]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu sikuweziiiBaki bana mwenzio napenda competition [emoji23][emoji23][emoji23]
Ukimpa style hii na me nakuja na kali kukuzidi mpk mume achanganyikiwe
Uwiiiii..🙆♂️🙆♂️🙆♂️Unatafuta kurogwa vibayaaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee unamsemea mwenzio? Uko kwenye moyo wake???Kuwa makini naye ana mwanamke anampenda hasikii la yoyote!!!! We baki tukae uke wenza hapa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]