Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,194
- 33,566
Nitaipata tuMxxiewwww!!![]()
Nitaipata tuMxxiewwww!!![]()
Ila haya mahaba yako mbona kama nina wasiwasi nao babyNiko hapa sweet love
Nimekuja kukupeti peti na kukupa mahaba moto moto![]()

Uke wenza wetu utakuwa mzuri sisi ni kuzurula na mume angani tu!!!! Ni mwendo wa kuchafua passport![]()

sawasawaTwanga makofi mpaka aelewe





Hapana sijageuka ni utan naongeaKuwadi ushanigeuka? Wewe si ndo uliekuwa unapiga debe hapa![]()
Kabla hata jogoo hajawika ushamkana baby wetu Jack Palladino
Heee nimeachwa tayari😅Kabla hata jogoo hajawika ushamkana baby wetu Jack Palladino
Kabla hata jogoo hajawika ushamkana baby wetu Jack Palladino





Heee nimeachwa tayari![]()




Mhhh acha nitafute mwingine😅Si nilikwambia huyu bi mkubwa mkorofi!!! Si unaona kaenda kumuita mtu sijui kamtoa wapi aje kutugombanisha![]()
Utakoma kuringaHeee nimeachwa tayari![]()
Mwenza tulia utatuletea magonjwaMke mwenza emu tulia, mbona unataka kumuua mume wetu sasa??
Huyo me simfahamu kabisaa tunataniana tu!!![]()

Utakoma kuringa



bi mkubwa sikutegemea mapema yote hii ushaanza kunisagia kunguni khaaaa!!!Mwenza tulia utatuletea magonjwa![]()





