YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
Ueye na mkewe maisha yao ninya utaoeli kabisa
Kungekuwa na voice note humu nikusimulie visa vyao mana nimechoka kutype
Ueye na mkewe maisha yao ninya utaoeli kabisa
Umenikumbusha kitu aiseee!!
Maza mdogo muabeshi, sasa alikuwa na bwanaake mfipa. Basi bana kuna mashosti zake wakawa wanatafuta mganga wana mambo yao uko makazini kwao.
Maza si kapiga simu kaweka loudspeaker eeeee!!!si nikasikia sauti ya bamdogo eti kapandisha majini kwenye simu anasema wale wadada mwaka haushi wanafukuzwa kazini wajitahidi wamuachie pesa mamdogo ya kununua vifaa vya kazi ili aje kuwafanyia kazi yao. Basi bamdogo anawaaga kwa kifipa aiseee!!!! Nilishindwa kuvumilia nilichekaaaaa mamdogo akakata simu faster alinikata jicho hilo la mwana ukome
Toka hapo siwaamini wafipa na nikimuona bamdogo nakauka kucheka





uduguuu hii chaii, khaaahNaomba nikuoigieaseeKungekuwa na voice note humu nikusimulie visa vyao mana nimechoka kutype
Mbna anamtaka babee wangu tenaa??Bi mkubwa anataka kunisusia mume anaaga mashindano![]()



wee unamsemea mwenzio? Uko kwenye moyo wake???





Nishafikaaa uduguuu, nambie yoteee, usifichee hata kidogoo![]()




uduguuu hii chaii, khaaah




Naona njia nyingine zote inataka kushindikana, ngoja nijaribu hiiHivi uko serious? Umelileta had huku?![]()

Naomba nikuoigieasee





Hana shida nampanga anaelewa vzr tuUnipigie kwa ruhusa ya nani?? CW ana taarifa?![]()
Nachotaka iPhone 14 iwe mezani palee ASAPASAP beiibey
Hamna namna shemKm kawaida yako lawama nabeba me.
Naona njia nyingine zote inataka kushindikana, ngoja nijaribu hii
Hadi niipate




Mdogo wangu mwenyewe😍😍