Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,467
- 65,790
Uyo nenda nae pole pole ana majin ya kifipaShem wako Cute Wife anazingua anakwepa kuja kulala kwenye bed kama hii
Uyo nenda nae pole pole ana majin ya kifipaShem wako Cute Wife anazingua anakwepa kuja kulala kwenye bed kama hii
Nimeweka godoro chini ata wawili hatulali vzrkwani unalala wapi??
Uyo nenda nae pole pole ana majin ya kifipa



Mwehu wewe!! Nina majini ya kizaramoYa kifipa yaliingilia kati baada ya kuona ya kizaramo yanashindwa kaziMwehu wewe!! Nina majini ya kizaramo
Nimeweka godoro chini ata wawili hatulali vzr



Mxxiewwww!!! Sasa si ulitoe ujue unalala mavumbini km nyokaNdio maana nasema ngoja nitafute hela maisha hayana huruma kabisa hayaMxxiewwww!!! Sasa si ulitoe ujue unalala mavumbini km nyoka
Ya kifipa yaliingilia kati baada ya kuona ya kizaramo yanashindwa kazi




Umenikumbusha kitu aiseee!!



si nikasikia sauti ya bamdogo eti kapandisha majini kwenye simu anasema wale wadada mwaka haushi wanafukuzwa kazini wajitahidi wamuachie pesa mamdogo ya kununua vifaa vya kazi ili aje kuwafanyia kazi yao. Basi bamdogo anawaaga kwa kifipa aiseee!!!! Nilishindwa kuvumilia nilichekaaaaa mamdogo akakata simu faster alinikata jicho hilo la mwana ukome



Ndio maana nasema ngoja nitafute hela maisha hayana huruma kabisa haya
Ahahha hao waongoUmenikumbusha kitu aiseee!!
Maza mdogo muabeshi, sasa alikuwa na bwanaake mfipa. Basi bana kuna mashosti zake wakawa wanatafuta mganga wana mambo yao uko makazini kwao.
Maza si kapiga simu kaweka loudspeaker eeeee!!!si nikasikia sauti ya bamdogo eti kapandisha majini kwenye simu anasema wale wadada mwaka haushi wanafukuzwa kazini wajitahidi wamuachie pesa mamdogo ya kununua vifaa vya kazi ili aje kuwafanyia kazi yao. Basi bamdogo anawaaga kwa kifipa aiseee!!!! Nilishindwa kuvumilia nilichekaaaaa mamdogo akakata simu faster alinikata jicho hilo la mwana ukome
Toka hapo siwaamini wafipa na nikimuona bamdogo nakauka kucheka
Ahahha hao waongo





Ueye na mkewe maisha yao ninya utaoeli kabisaAlikuwa anawatapeli huyo bamdogo ni hatari kuna kisa chake cha utapeli kiliwahi kutokea Arusha mpk media zilitangaza. Nilicheka sanaaaa![]()
Unatafuta kurogwa vibayaaa??Hana shida
Ameniruhusu kuongeza mwingine
Karibu kipenzi





Nilikuwa nakulindia mumeo dada
Afu me bi mdogo mpole sina shida yeyote!! Tupange zamu ya kumpa huduma mume wetu![]()




khaaaahBaki bana mwenzio napenda competition
Ukimpa style hii na me nakuja na kali kukuzidi mpk mume achanganyikiwe





uduguuu sikuweziiiUwiiiii..🙆♂️🙆♂️🙆♂️Unatafuta kurogwa vibayaaa??![]()
Kuwa makini naye ana mwanamke anampenda hasikii la yoyote!!!! We baki tukae uke wenza hapa![]()





wee unamsemea mwenzio? Uko kwenye moyo wake???Nishafikaaa uduguuu, nambie yoteee, usifichee hata kidogooSawa shem ila usije sema simu ilikuwa kwangu kivuruge wako akifika![]()




