😀😀😀Dah una nionaga mzinzi Sana😂🤣😂, na maanisha njiani bhana🤣😂🤒
Ngoja tumuite National Anthem atupe maoni 😂🤣Hili jina silitaki why hamnielewi😬😬
Halafu kuchezea pesa sio viuri😂🤣, aje hata kwa miguu😂🤒
Vijana wa Darisalamu kazi sana, heri niendelee kulima miwa kwetu Kakunyu tu....Dah jau jau tu😂🤣😂, sema yata pita 🤒
😀😀😀Una utani wewHalafu kuchezea pesa sio viuri😂🤣, aje hata kwa miguu😂🤒
Sio dasilamu tu, mikoa yotee ni jau 😂🤣🤒Vijana wa Darisalamu kazi sana, heri niendelee kulima miwa kwetu Kakunyu tu....
Basi akae kwao🤣😂😂🤒😀😀😀Una utani wew
huku hapanifai tena maana nitakua naona ulivyo mbea huku nachukia





Ahhaah tuzigeuze Mali ya nani?Pendeze lakini shida zako usizigeuze mali ya ummah....
Vijana wanadema dema sana, wote mna mbinu zinafanana.
Kila wakimtongoza cute wife basi lazima wanipondee,
Siku nikiwa natoka kwenye majukumu yangu alafu nna stress, ntakuja hapa kuwachana mmoja mmoja maana wote naona umri mkubwa lakini akili za ki-teenager
Nitawapa somo vizuri, atayechukia hiyo itakua juu yake. Kuna mmoja huku kwenye mijadala anakua innocent sana, lakini akienda inbox kutongoza anaenda kuniponda
Nitawaweka sawa




Toka unipokonye simu yangu umesoma piem zangu ishakuwa shida khaaaaa!!!!Huku kwetu hawasumbui sana maana wakishamaliza tu Std 7 njemba zinapachika mimba.....Sio dasilamu tu, mikoa yotee ni jau 😂🤣🤒
Hivyohivyo ulivyoelewa ndugu Tuntufye....Ahhaah tuzigeuze Mali ya nani?
SEMA UNA JIHOFIA SANA MKUU, AU NDO UNA TAFUTA HURUMA YAKE 🤒🤒Vijana wanadema dema sana, wote mna mbinu zinafanana.
Kila wakimtongoza cute wife basi lazima wanipondee,
Siku nikiwa natoka kwenye majukumu yangu alafu nna stress, ntakuja hapa kuwachana mmoja mmoja maana wote naona umri mkubwa lakini akili za ki-teenager
Nitawapa somo vizuri, atayechukia hiyo itakua juu yake. Kuna mmoja huku kwenye mijadala anakua innocent sana, lakini akienda inbox kutongoza anaenda kuniponda
Nitawaweka sawa
Hahaha hakuna kule kabisa ni mwendo wa komoni tuHuku kwetu hawasumbuia sana maana wakishamaliza tu Std 7 njemba zinapachika mimba.....
Kwanza hata umeme hakuna, hizo Iphone hazitusumbui sana, huku mzinga mkubwa ni 10000
Eti Mwachiluwi kule kwenu Mwakaleli kuna Kitambaa Cheupe au Kidimbwi, ???
Dahhh elfu 10 mbona nyingi Sana 😂🤣🙉Huku kwetu hawasumbuia sana maana wakishamaliza tu Std 7 njemba zinapachika mimba.....
Kwanza hata umeme hakuna, hizo Iphone hazitusumbui sana, huku mzinga mkubwa ni 10000
Eti Mwachiluwi kule kwenu Mwakaleli kuna Kitambaa Cheupe au Kidimbwi, ???
Ahhaha sawa bhna unitumie korosho sasaHivyohivyo ulivyoelewa ndugu Tuntufye....