Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Vijana wanadema dema sana, wote mna mbinu zinafanana.

Kila wakimtongoza cute wife basi lazima wanipondee,

Siku nikiwa natoka kwenye majukumu yangu alafu nna stress, ntakuja hapa kuwachana mmoja mmoja maana wote naona umri mkubwa lakini akili za ki-teenager

Nitawapa somo vizuri, atayechukia hiyo itakua juu yake. Kuna mmoja huku kwenye mijadala anakua innocent sana, lakini akienda inbox kutongoza anaenda kuniponda

Nitawaweka sawa

Toka unipokonye simu yangu umesoma piem zangu ishakuwa shida khaaaaa!!!!
 
Sio dasilamu tu, mikoa yotee ni jau 😂🤣🤒
Huku kwetu hawasumbui sana maana wakishamaliza tu Std 7 njemba zinapachika mimba.....
Kwanza hata umeme hakuna, hizo Iphone watazitoa wapi ? Huku kizinga kikubwa ni 10,000/=
Eti Mwachiluwi kule kwenu Mwakaleli kuna Kitambaa Cheupe au Kidimbwi, ???
 
Vijana wanadema dema sana, wote mna mbinu zinafanana.

Kila wakimtongoza cute wife basi lazima wanipondee,

Siku nikiwa natoka kwenye majukumu yangu alafu nna stress, ntakuja hapa kuwachana mmoja mmoja maana wote naona umri mkubwa lakini akili za ki-teenager

Nitawapa somo vizuri, atayechukia hiyo itakua juu yake. Kuna mmoja huku kwenye mijadala anakua innocent sana, lakini akienda inbox kutongoza anaenda kuniponda

Nitawaweka sawa
SEMA UNA JIHOFIA SANA MKUU, AU NDO UNA TAFUTA HURUMA YAKE 🤒🤒
 
Back
Top Bottom