Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Haya mambo ni harisi.. kuna siku nilienda site nje ya mji kufanya survey.. pale ambapo survey ilikuwa yafanyika karibu yake kulikuwa na top mganga lile eneo.. sasa wadada wa dar es salaam pale wanapishana mzee . kuchukua ndumba na kukaanga maboyaa wao... hatari sana hapa mjini hasa hawa mabinti wazuri wazuri.. na uchawi wengine wanaweka kwenye shanga.. ziguse uone mtiti wake 😅😅😅😅😅
Ndiyo maana wanaume wengi wa Tanzania akili zetu ziko kama vichaa. Hawa wanawake wanatuloga kweli yani....
Sasa piga picha una michepuko 5 halafu yote inaenda kwa mganga kukukoleza, unadhani utakuwa mzima kichwani ?
Hapo bado mke wako wa ndoa hajakutengeneza naye, yaaani hawa wanawake hawafanyi fresh hata kidogo mazee
 
Niogope nn kwanza wanasheria waendelee kuandika waraka WA amani 😀😀😀
Wameze tu viwembe 😅😅😅
hakuna kitu watabadirisha.. imeisha hiyo
IMG_20230813_160354.jpg
 
Back
Top Bottom