Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😅😅😅 hili ni ajabu kwa dar es salaam.. huwa nashangaa kuna maeneo huwa naenda .. iPhone 13 Pro au 14 Pro ukiangalia alie nayo.. bagoshaaa...
Basi bwana majuzi nimeenda kunyoa, likaingia lidada moja hivi linanukia kweli limepaki Crown mpya nje. Yule muhudumu wa kike wa saloon akaliita pembeni, akaanza kuliambia, eti shost ile namba ya mganga wa Bagamoyo nimeshaipata. Likasema shost ahsante hebu nipe, umeona tayari yule mwanaume kashaniachia gari hilo hapo nje, sasa ntahakikisha atamwacha hata mke wake. Likapewa namba ya mganga, likaamua kuita boda-boda alikimbize Bagamoyo, gari likamwachia yule mwenzake wa Saloon.

Nikasema Hiiiiiiiiii Bagoshaa, kuna mwamba ashalizwa na hili tandam. Haya ndiyo maisha ya Darisalamu....
 
mwanawane mbona hatupenai taarifa kuea unejiwe kwa Cute Wife mzee
Vijana wanadema dema sana, wote mna mbinu zinafanana.

Kila wakimtongoza cute wife basi lazima wanipondee,

Siku nikiwa natoka kwenye majukumu yangu alafu nna stress, ntakuja hapa kuwachana mmoja mmoja maana wote naona umri mkubwa lakini akili za ki-teenager

Nitawapa somo vizuri, atayechukia hiyo itakua juu yake. Kuna mmoja huku kwenye mijadala anakua innocent sana, lakini akienda inbox kutongoza anaenda kuniponda

Nitawaweka sawa
 
Basi bwana majuzi nimeenda kunyoa, likaingia lidada moja hivi linanukia kweli limepaki Crown mpya nje. Yule muhudumu wa kike wa saloon akaliita pembeni, akaanza kuliambia, eti shost ile namba ya mganga wa Bagamoyo nimeshaipata. Likasema shost ahsante hebu nipe, umeona tayari yule mwanaume kashaniachia gari hilo hapo nje, sasa ntahakikisha atamwacha hata mke wake. Likapewa namba ya mganga, likaamua kuita boda-boda alikimbize Bagamoyo, gari likamwachia yule mwenzake wa Saloon.

Nikasema Hiiiiiiiiii Bagoshaa, kuna mwamba ashalizwa na hili tandam. Haya ndiyo maisha ya Darisalamu....
Haya mambo ni harisi.. kuna siku nilienda site nje ya mji kufanya survey.. pale ambapo survey ilikuwa yafanyika karibu yake kulikuwa na top mganga lile eneo.. sasa wadada wa dar es salaam pale wanapishana mzee . kuchukua ndumba na kukaanga maboyaa wao... hatari sana hapa mjini hasa hawa mabinti wazuri wazuri.. na uchawi wengine wanaweka kwenye shanga.. ziguse uone mtiti wake 😅😅😅😅😅
 
Vijana wanadema dema sana, wote mna mbinu zinafanana.

Kila wakimtongoza cute wife basi lazima wanipondee,

Siku nikiwa natoka kwenye majukumu yangu alafu nna stress, ntakuja hapa kuwachana mmoja mmoja maana wote naona umri mkubwa lakini akili za ki-teenager

Nitawapa somo vizuri, atayechukia hiyo itakua juu yake. Kuna mmoja huku kwenye mijadala anakua innocent sana, lakini akienda inbox kutongoza anaenda kuniponda

Nitawaweka sawa
😅😅😅 mkuu we kaushia tu.. huu ujinga upo sana JF mtu badala aende pm kupiga sound yeye kama yeye.. anaenda kuanza kuchafua wengine .. kuna utoto mwingi sana..
 
Back
Top Bottom