Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Vijana wanadema dema sana, wote mna mbinu zinafanana.

Kila wakimtongoza cute wife basi lazima wanipondee,

Siku nikiwa natoka kwenye majukumu yangu alafu nna stress, ntakuja hapa kuwachana mmoja mmoja maana wote naona umri mkubwa lakini akili za ki-teenager

Nitawapa somo vizuri, atayechukia hiyo itakua juu yake. Kuna mmoja huku kwenye mijadala anakua innocent sana, lakini akienda inbox kutongoza anaenda kuniponda

Nitawaweka sawa
Kuna mtu atapigwa za uso ukoò 🤣🤣
 
Ndiyo maana wanaume wengi wa Tanzania akili zetu ziko kama vichaa. Hawa wanawake wanatuloga kweli yani....
Sasa piga picha una michepuko 5 halafu yote inaenda kwa mganga kukukoleza, unadhani utakuwa mzima kichwani ?
Hapo bado mke wako wa ndoa hajakutengeneza naye, yaaani hawa wanawake hawafanyi fresh hata kidogo mazee
Umelogwa na wamakua wewe
 
Back
Top Bottom