YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
Hiyo ngoja tumuite tajiri Equation x pokea hii request and do the needful please
Aje shem aninunulie tajiri hana longo longo pesa kwake km kuchota maji baharini




Hiyo ngoja tumuite tajiri Equation x pokea hii request and do the needful please




Unaenda wapi sasa 😂😂
Wahi chapNafanya mazoezi mgonjwa![]()
Mhhh hela ya ceres hajatuma tukimuomba atujazie full tank si ndyo atajitoa jf kabisaAje shem aninunulie tajiri hana longo longo pesa kwake km kuchota maji baharini![]()
Hongera na Mungu atakusimamiaAhahah soon nafungua mgahawa ngoja mambo yaninyooke tu 🙏🙏
Leo anataka uongeze kidogo tu
Mhhh hela ya ceres hajatuma tukimuomba atujazie full tank si ndyo atajitoa jf kabisa



Bado tumsubiri yupo kukusanya maokoto, shogare na mdomo wako utamkosa tajiri ujueNa Nina mdomo ngoja ninyamaze mieeeeeBado tumsubiri yupo kukusanya maokoto, shogare na mdomo wako utamkosa tajiri ujue
Na Nina mdomo ngoja ninyamaze mieeeee




Una mia ya karibu hapo?Hiyo ngoja tumuite tajiri Equation x pokea hii request and do the needful please
Maweeeeeee tumeishaaaUna mia ya karibu hapo?
Asiyefanya kazi na asile, bwana asemaAje shem aninunulie tajiri hana longo longo pesa kwake km kuchota maji baharini![]()
Umeona 😂😂😂, Nimekutumia milioni kumi; gawa kwa kwa elfu kumiMaweeeeeee tumeishaaa
Subutuuu labda uwe umeichambiaa kwanza ndyo utumeeUmeona 😂😂😂, Nimekutumia milioni kumi; gawa kwa kwa elfu kumi
😂 😂 😂Subutuuu labda uwe umeichambiaa kwanza ndyo utumee