YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
🤣🤣🤣🤣 AiseeeNikki wa pilli ni lazima atasanda.
Nikiwa nalog in jf. Ila kila nikipata muda wa kuingia humu ninatafuta basha
🤣🤣🤣🤣 AiseeeNikki wa pilli ni lazima atasanda.
Nikiwa nalog in jf. Ila kila nikipata muda wa kuingia humu ninatafuta basha
La.mtu si nafuu la kwako mwenyew unabaki unashangaa mm huyu au nilichojifunza watu hatupendani Kuna watu wanaona kumchafua mtu ni ujanja kiukweli wanatuumiza mno wengine tunashindwa tu kusema lakini wanakera Sana😅😅😅 Unapewa file la mtu hadi unabaki mdomo wazi..
bosss wewe huchuji juzi tu hapa umenipa laki moja kisa tu nimekusifia nani kama wewe CEO na mwakan tuna nunua jf huna uswahili ukifa wewe uozi nakwambia na ukioza unuki
![]()




hizi sifa zimezidi sana mpk nimestuka khaaaaaaa!!!😂😂😂😂Wala usipate shida nae, huyu niachie nipo nimeacha majukumu yote kwa ajili yake.
Penseli ni lazima atasanda.
Penseli wewe ombea nisiwe nalog in jf. Ila kila nikipata muda wa kuingia humu nina wewe
Mwizi akishakamatwa polisi, hata kama hakuiba yeye wewe sema kaiba akafie jela huko.Aisee sio hao mkuu![]()
Kuna mmoja alipewa file langu huko pm na wenzie ikabidi anitafute nilichoka baada ya kuniambia yanayoendelea 🙆🏾♀️😁😁😁😅😅😅 Unapewa file la mtu hadi unabaki mdomo wazi..
Wanakera mwanzoni, ila ukiwazoea wala hawakupi shidaLa.mtu si nafuu la kwako mwenyew unabaki unashangaa mm huyu au nilichojifunza watu hatupendani Kuna watu wanaona kumchafua mtu ni ujanja kiukweli wanatuumiza mno wengine tunashindwa tu kusema lakini wanakera Sana
Wala sina hamu na ww maana huko ni kujishusha hadhi.Una hamu na mie???
Nikujibu???
Tulia kipenzi, hunisumbui hata.
Tafuta njia nyingine maana hii ime fail
Sawa toto?
emu niwacheeeee, nalalaa mie.






Relaaaaaaxxxxxxx!!!Sorry, unajua jina la penseli likija na lako huwa linakuja sijui kwa nn







Nitakua wa kwanza kulog out. Wengine kwenye real life ni wapole sana, mitandao mingine IG na twitter tunatumia real names. huku ndio pekee unaweza andika venye unataka, ndio pa kutoa stress zotendo ukome na ufisi wako!!! Si nakwambia kila siku mpigiane video call kabla ya kuonana
Afu Melli aweke live km TikTok hayo majibizano ya humu yangependeza sana![]()
Ujinga na ukosefu wa kaziWanakera mwanzoni, ila ukiwazoea wala hawakupi shida
Ni upuuzi tu hakuna la maana dear
😅😅😅 unashangaa huyu ni mie au anazungumzia nani..La.mtu si nafuu la kwako mwenyew unabaki unashangaa mm huyu au nilichojifunza watu hatupendani Kuna watu wanaona kumchafua mtu ni ujanja kiukweli wanatuumiza mno wengine tunashindwa tu kusema lakini wanakera Sana
Huna baya ishiii sana na vile ulivyo na sura ya kitoto uzeeki kila siku unakuwa mpya kabisa boss mmoja pesa sio shida kabisa tajiri umepoaaa umepoaaa umepoaaa tena mtoto ukicheka kama ucheki ukinuna bado unaita unasema njoo mlMungu akupe nini wewe unywele uwe kma wahindi hapa ila sio kama wahindi wa kariakooohizi sifa zimezidi sana mpk nimestuka khaaaaaaa!!!
Me naonaga ni watu ambao wamejikatia tamaa na maisha, sababu kwa hali ya saivi watu busy unapata wapi muda wa kuhangaika na fake ID ya mtu humjuiLa.mtu si nafuu la kwako mwenyew unabaki unashangaa mm huyu au nilichojifunza watu hatupendani Kuna watu wanaona kumchafua mtu ni ujanja kiukweli wanatuumiza mno wengine tunashindwa tu kusema lakini wanakera Sana
Sasa we si shoga kuna la kuuliza hapo 🤣🤣🤣Ninatongoza wanaume inbox
Kwakweli ni kuwapotozea japo kibinadamu ilinikwaza Yani Ile siku hata kazini sikuweza kwenda ila nimegundua hapa selfika kunawatu Wana matatizo ya akili sio wazimaWanakera mwanzoni, ila ukiwazoea wala hawakupi shida
Ni upuuzi tu hakuna la maana dear
Penseli ni wale "I was born in a wrong body"Una hamu na mie???
Nikujibu???
Tulia kipenzi, hunisumbui hata.
Tafuta njia nyingine maana hii ime fail
Sawa toto?
Waliokutuma rudi kwao mkajipange upyaWala sina hamu na ww maana huko ni kujishusha hadhi.
HAPA NAFANYA MALIPIZI KIDOGO. 😜😜😜.
Nikimaliza ntakuambia malipo ni hapa hapa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Eeeh dawa iingie vizuri.