Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahahhaha, ngoja nijijenge kwanza nikiwa na minyoosho yangu
Inshallah kaka angu😍

Ila mtoto wa kiume una dislike kila comments ya mwanaume mwenzio😂
AkyaMungu wallah, papai limekwiva🚮
anapandwaa kama boda boda huyo 😅😅
 
Yaani hapa hapafai tena
Hizi tabia za kuchukiana na kuzingatiana sijui zimetokea wapi watu wamekua na interest ya kuongea uongo na kuzushia watu mambo ya hovyo
Dhima ya kuwepo jf inapotea
Ni hivi vitoto, I mean vipapai kutwa kujisifia na ID mpya
Sarakasi nyingi kumbe watu wametulia wanamchora.
Wala dhima haipotei, maana unawapotezea tu wanaacha ujinga
 
Yupoo mbna humu humu, siku hizi hawagi sana lakini. Sasa imagine kipindi kilee napangua jopoo LA watu humu ndaniii, kwa I'd hii hii.

Afu leo mtu anasema nafungua I'd mpya nimtukanee!! Tena kwa kitu kisicho na maana, hivi ananijua au ananisikiaaa??

selfika imevamiwaaa, wallah khaaah.
Hakujui kama wewe jeshi kutoka mbinga huko,haihitaji backup ya I'd ingine😁
 
Back
Top Bottom