Uuwiii
Shem kama shem umetoa wapi tena huyu kivuruge wangu jamanii
Nitaweka wapi sura yangu mimi wallah
Umeona sasa shem umeharibu
[emoji17][emoji17][emoji17][emoji17].. dah!
Mie haijaniuma sana, imenikwaza kuwahusisha watu wengine na mie na kuna ambao sijawa hata kuwaona.. naambiwa hadi Tinsley nimekula [emoji28][emoji28][emoji28] mdogo wangu binti wa watu hakana makuu kale.. katoto ka watu hadi kameikimbia jf ..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Imeniuma kweli, alafu walivo wapuuzi nilipo pita nimeacha grid ya taifa... wanawachafu watu bure tu..
Ningekuja na Benz wangesema nimekuoa kabisa sasa [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Unajua nini mdogo wangu, Kinachosumbua wengine humu wivu tu..
Wewe shem wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Amefika mwenyewe anasema moyo ulikuwa unamuenda mbio sana
Depal anakaba hadi uvuli aisee.. kaniwekea tracker 😅😅Hahaha Jasiri haachi asili mzeee
He is one of a kind🥰🥰Bff is a man & half you know.😍
Kazi yake ni njema.. hakuna muda wa kuchezea na gumegume za jf 🚮
Nimesahau kuongeza dozi iliisha basi hapa najionea maluwe luwe tu [emoji2960][emoji2960]
Mimi mambo ya kuzushiwa hayajawahi niumaPole bro achana nao, mambo ya kuzushiwa yanauma sema ndo binadamu midomo mali yao hawalipii VAT
Km vipi wapotezee, kwan wanaongeza nini kwenye maisha yao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nachekaa hadi bas, wee Mjep hebu waambie watu, mie ni nani kwakooo?? Mie kujibu naona kaziii.Uuwiii
Shem kama shem umetoa wapi tena huyu kivuruge wangu jamanii
Nitaweka wapi sura yangu mimi wallah
Umeona sasa shem umeharibu
Wanyoe na waoKuna uzi ule wa walionyoa wamefulia ndio nausoma unanifurahisha, nikimaliza nalala
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haki ya mama
Nimemuona Lenie
Naombeni mkalale
😬😬 hawana maaana hawaa viumbe.. walivyo wao wanafikiri wote tupo hivyooo... jumamisi twende beach mdogo wangu.. aisee.. mpe pole mama mchungaji maskini, dada watu kajinyookea wanamuungaisha kwenye matukio ya hovyo hovyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sema habari za vyeti zilinichekesha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Habari ya mkesha hawaijui, habari ya Kanisani hawaijui
Wamepaona Chimwaga wakaunga stori kuwa alimsindikiza kuchukua cheti[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Dove sinaCake hadi desemba alafu mna perfume za dove??? Au nyie mna gani yangu inakaribia kuisha kweli.
Achana nao bana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nachekaa hadi bas, wee Mjep hebu waambie watu, mie ni nani kwakooo?? Mie kujibu naona kaziii.
Vikopo vyote vyeupee, naogopa tu vijidudu visipande kichwani nikaharibu🤣🤣[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Basi embu kunywa fasta huchelewi kukiamsha huku ndani
Shem we chochea moto tu shauri yako😁😁😁😁Aaah! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unique Flower nilikwambia huyu muongo