Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nataka niwe karibu yako kipenzi nauseme unanipenda naunamaanisha hilo kwanza mengine nitakuja kukunong'oneza
Kipenzi ujisikii vibaya kumuita mwanaume mwezio kipenzi 😂😂😂 eti wanakuita binti maua haya umedanga kule kwenye tunda kimasihala umekosa mwanaume?


Tunajua ID ya Fifi Moto ni yako sana ukaenda kule kujimwaga ukaona watu wakavuuuuu ukarudi hapa selfika. 😂😂😂

Ulianza kumshobokea mwachiluwi ulivyo ona ana muda ukaenda kwa intelligent naye akakupotezea leo unakuja selfika una mtaka mjep 😂😂😂😂 baada ya bwana mmoja kumshobokea aka kuchunia 😂😂😂😂

Ila bora ata huyo mjep anakujibu una haiba ya kike wewe ni mwanaume izo kengele hapo mbele unajua maana yake? 😂😂😂

Nasubiri ujibu kama unavyo jibugi nije na file zako zote hapa 😂😂😂😂
 
Kipenzi ujisikii vibaya kumuita mwanaume mwezio kipenzi 😂😂😂 eti wanakuita binti maua haya umedanga kule kwenye tunda kimasihala umekosa mwanaume?


Tunajua ID ya Fifi Moto ni yako sana ukaenda kule kujimwaga ukaona watu wakavuuuuu ukarudi hapa selfika. 😂😂😂

Ulianza kumshobokea mwachiluwi ulivyo ona ana muda ukaenda kwa intelligent naye akakupotezea leo unakuja selfika una mtaka mjep 😂😂😂😂 baada ya bwana mmoja kumshobokea aka kuchunia 😂😂😂😂

Ila bora ata huyo mjep anakujibu una haiba ya kike wewe ni mwanaume izo kengele hapo mbele unajua maana yake? 😂😂😂

Nasubiri ujibu kama unavyo jibugi nije na file zako zote hapa 😂😂😂😂

Mwachiluwi 😂🤣🤣🤣🤣 mtu ambaye hajabalehee , halafu International business aisee lini hiyoo sasa sikia wewe ndio mwanamke unawivu tu pole sasa nikuambie kitu ongea mwaya jf ipo kwa ajili ya vilaza kama wewe ukimaliza basi ujue hili napendwa ila mume humjui umeona eh nabado utaongea hadi sauti ishe yote , nakujua ,wewe na umekomaa kama sinia la ndizi , nifito tu unazipeleka nimefunga pm ungekuja kuongea yako niachie bwana wangu kodi nani analipa pole mwaya. Utalipia kunawengi
 
Maua wee si umbebishe bwana ako, mimi na Kantri ndio zetu sema hutufatilii
Tena mwenzio mimi naimbiwa live humu michano og kutoka kwake! Subiri nikutag sehemu uone michano iliyoshushwa muda huu
Napenda ukipendwa eti nimeitwa mi mwanaume hadi raha ila sawa tu
 
Mwachiluwi 😂🤣🤣🤣🤣 mtu ambaye hajabalehee , halafu International business aisee lini hiyoo sasa sikia wewe ndio mwanamke unawivu tu pole sasa nikuambie kitu ongea mwaya jf ipo kwa ajili ya vilaza kama wewe ukimaliza basi ujue hili napendwa ila mume humjui umeona eh nabado utaongea hadi sauti ishe yote , nakujua ,wewe na umekomaa kama sinia la ndizi , nifito tu unazipeleka nimefunga pm ungekuja kuongea yako niachie bwana wangu kodi nani analipa pole mwaya. Utalipia kunawengi
Ahahaa unique please umsinihusishe kwenye ugomvi
 
Kipenzi ujisikii vibaya kumuita mwanaume mwezio kipenzi 😂😂😂 eti wanakuita binti maua haya umedanga kule kwenye tunda kimasihala umekosa mwanaume?


Tunajua ID ya Fifi Moto ni yako sana ukaenda kule kujimwaga ukaona watu wakavuuuuu ukarudi hapa selfika. 😂😂😂

Ulianza kumshobokea mwachiluwi ulivyo ona ana muda ukaenda kwa intelligent naye akakupotezea leo unakuja selfika una mtaka mjep 😂😂😂😂 baada ya bwana mmoja kumshobokea aka kuchunia 😂😂😂😂

Ila bora ata huyo mjep anakujibu una haiba ya kike wewe ni mwanaume izo kengele hapo mbele unajua maana yake? 😂😂😂

Nasubiri ujibu kama unavyo jibugi nije na file zako zote hapa 😂😂😂😂
Please sipendi kuhusishwa kwa yeyote nina mahusihano yangu seriously hapa jf 🤣
 
Mtu analia anaona ndege anapaaa kama emirates pole labda next year nitamrudisha akiwa kanenepa maana sasa hivi amekomaa kama wewe Mydevran katulie kwenye upepo wa bahari usije ukafee na preshaa njoo na ID yako tuliokuzoea ndio unichambee
 
Mwachiluwi 😂🤣🤣🤣🤣 mtu ambaye hajabalehee , halafu International business aisee lini hiyoo sasa sikia wewe ndio mwanamke unawivu tu pole sasa nikuambie kitu ongea mwaya jf ipo kwa ajili ya vilaza kama wewe ukimaliza basi ujue hili napendwa ila mume humjui umeona eh nabado utaongea hadi sauti ishe yote , nakujua ,wewe na umekomaa kama sinia la ndizi , nifito tu unazipeleka nimefunga pm ungekuja kuongea yako niachie bwana wangu kodi nani analipa pole mwaya. Utalipia kunawengi
😂😂😂 jamani unatia huruma uonapo mifupa jua wapo walio kula nyama wakaacha mifupa 😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom