YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
Unaiga best
Naiga nini??
Unaiga best
Kipenzi ujisikii vibaya kumuita mwanaume mwezio kipenzi 😂😂😂 eti wanakuita binti maua haya umedanga kule kwenye tunda kimasihala umekosa mwanaume?Nataka niwe karibu yako kipenzi nauseme unanipenda naunamaanisha hilo kwanza mengine nitakuja kukunong'oneza
Wimbo huu hakunaga halafu sasa umeona makope yamaua kwa Mjep wangu sasa akisema ananipenda tu anaenda kunywa majiNaiga nini??
Wimbo huu hakunaga halafu sasa umeona makope yamaua kwa Mjep wangu sasa akisema ananipenda tu anaenda kunywa maji



Maua wee si umbebishe bwana ako, mimi na Kantri ndio zetu sema hutufatilii Kipenzi ujisikii vibaya kumuita mwanaume mwezio kipenzi 😂😂😂 eti wanakuita binti maua haya umedanga kule kwenye tunda kimasihala umekosa mwanaume?
Tunajua ID ya Fifi Moto ni yako sana ukaenda kule kujimwaga ukaona watu wakavuuuuu ukarudi hapa selfika. 😂😂😂
Ulianza kumshobokea mwachiluwi ulivyo ona ana muda ukaenda kwa intelligent naye akakupotezea leo unakuja selfika una mtaka mjep 😂😂😂😂 baada ya bwana mmoja kumshobokea aka kuchunia 😂😂😂😂
Ila bora ata huyo mjep anakujibu una haiba ya kike wewe ni mwanaume izo kengele hapo mbele unajua maana yake? 😂😂😂
Nasubiri ujibu kama unavyo jibugi nije na file zako zote hapa 😂😂😂😂
Napenda ukipendwa eti nimeitwa mi mwanaume hadi raha ila sawa tuMaua wee si umbebishe bwana ako, mimi na Kantri ndio zetu sema hutufatilii
Tena mwenzio mimi naimbiwa live humu michano og kutoka kwake! Subiri nikutag sehemu uone michano iliyoshushwa muda huu
Ahahaa unique please umsinihusishe kwenye ugomviMwachiluwi 😂🤣🤣🤣🤣 mtu ambaye hajabalehee , halafu International business aisee lini hiyoo sasa sikia wewe ndio mwanamke unawivu tu pole sasa nikuambie kitu ongea mwaya jf ipo kwa ajili ya vilaza kama wewe ukimaliza basi ujue hili napendwa ila mume humjui umeona eh nabado utaongea hadi sauti ishe yote , nakujua ,wewe na umekomaa kama sinia la ndizi , nifito tu unazipeleka nimefunga pm ungekuja kuongea yako niachie bwana wangu kodi nani analipa pole mwaya. Utalipia kunawengi
Please sipendi kuhusishwa kwa yeyote nina mahusihano yangu seriously hapa jf 🤣Kipenzi ujisikii vibaya kumuita mwanaume mwezio kipenzi 😂😂😂 eti wanakuita binti maua haya umedanga kule kwenye tunda kimasihala umekosa mwanaume?
Tunajua ID ya Fifi Moto ni yako sana ukaenda kule kujimwaga ukaona watu wakavuuuuu ukarudi hapa selfika. 😂😂😂
Ulianza kumshobokea mwachiluwi ulivyo ona ana muda ukaenda kwa intelligent naye akakupotezea leo unakuja selfika una mtaka mjep 😂😂😂😂 baada ya bwana mmoja kumshobokea aka kuchunia 😂😂😂😂
Ila bora ata huyo mjep anakujibu una haiba ya kike wewe ni mwanaume izo kengele hapo mbele unajua maana yake? 😂😂😂
Nasubiri ujibu kama unavyo jibugi nije na file zako zote hapa 😂😂😂😂
kuna nini 🥸🫣National Anthem njoo soma post za Lenie mmh!
Napenda ukipendwa eti nimeitwa mi mwanaume hadi raha ila sawa tu




Umetajwa sasa nifanyaje mieAhahaa unique please umsinihusishe kwenye ugomvi
Soma tu utaelewakuna nini 🥸🫣
Mwambie tena mwambie akukome akiona watu wanaongea wanasogeza muda uendePlease sipendi kuhusishwa kwa yeyote nina mahusihano yangu seriously hapa jf 🤣
UsijaliTuma namba hiyo kwangu, nimtumie babe piem uko nina wasiwasi![]()
Haya kwaheliUmetajwa sasa nifanyaje mie
Yangu ni hayo tuMwambie tena mwambie akukome akiona watu wanaongea wanasogeza muda uende
😂😂😂 jamani unatia huruma uonapo mifupa jua wapo walio kula nyama wakaacha mifupa 😂😂😂😂😂Mwachiluwi 😂🤣🤣🤣🤣 mtu ambaye hajabalehee , halafu International business aisee lini hiyoo sasa sikia wewe ndio mwanamke unawivu tu pole sasa nikuambie kitu ongea mwaya jf ipo kwa ajili ya vilaza kama wewe ukimaliza basi ujue hili napendwa ila mume humjui umeona eh nabado utaongea hadi sauti ishe yote , nakujua ,wewe na umekomaa kama sinia la ndizi , nifito tu unazipeleka nimefunga pm ungekuja kuongea yako niachie bwana wangu kodi nani analipa pole mwaya. Utalipia kunawengi
Hivi nawewe unaamini nakupendaga walahi mie sijawahi kukupenda seriousYangu ni hayo tu
Usijali
Ni biashara tu hakuna kingine.
Na hata hiyo namba ninayompa wala siitumii mimi.
Mimi nina babe humu,na ana password yangu.



nakuamini bana natania tu