YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
Umeona nimeagiziwa cake unaanza chokochoko




Ili hali ya hewa ichafukwe




Ahhahaa mimi sikai kwa shemeji ila natumia vitu vya shemeji 🤣🤣🤣aisee, afu unanicheka mimi
Umeona nimeagiziwa cake unaanza chokochoko
Ili hali ya hewa ichafukwe
Kumbe ndo wewe mnunuliwa.Soma post 363009
Akilipia niambie nikupe maelezo lini uitengeneze![]()
Nataka niwe karibu yako kipenzi nauseme unanipenda naunamaanisha hilo kwanza mengine nitakuja kukunong'onezaNipo sweetheart mtoto maua😘🌺🌺
Sema unataka nini mrembo
Nipo kwa ajili yako
Ahahahaha nikupe na wewe shoga ake usiwe single uwe unaendesha Ford rangennimeanza kuona Mwachiluwi ni kimarioo cha mtu😂
Mambo haya ni Cute Wife usilale mapema leo ngumi zinaweza token hapaNinajua vizuri umetumwa na masikini wenzio mmezoea kudanga ndio maana kukicha unawaza wanaume urimbukeni unakusumbua
Sawasawa jirani..Jirani matunda usisahau
Ok, weka namba. Kuna mtu nitampigia akutumie kupitia wakala, amesafiri so utasubiri kama ndani ya saa 1Asante Mkuu,Ubarikiwe.
Unaruhusiwa kumnunulia hata rafiki,ndugu ,hata Mimi mwenyewe ni ruhusa kuninunulia
Malipo napokea kwa namba yangu ya simu ama wakati wa delivery.
Kumbe ndo wewe mnunuliwa.Soma post 363009
Akilipia niambie nikupe maelezo lini uitengeneze![]()


Ok, weka namba. Kuna mtu nitampigia akutumie kupitia wakala, amesafiri so utasubiri kama ndani ya saa 1




Nakutumia MkuuOk, weka namba. Kuna mtu nitampigia akutumie kupitia wakala, amesafiri so utasubiri kama ndani ya saa 1

Unaiga bestHakunaga zaidi yangu mi na wewe
Hakunagaaaa zaidi yangu mi na wewe
Hakuna, hakunagaa![]()
Hapo hapo shikiliaAfu ndio shem ako ninayetaka kumzalia![]()

Ok, weka namba. Kuna mtu nitampigia akutumie kupitia wakala, amesafiri so utasubiri kama ndani ya saa 1




Hapo hapo shikilia
Achana na yule mfaransa uchwara mzungu Koko hana chochote amekaa mbavu,hata hela ya cake hana
Sent using Jamii Forums mobile app



