Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,147
- 190,643
Icho ni kibasi eeh, 🤣🤣🤣Jidanganye
Mimi niwe single?? Mabwana wote waliojaa humu?? Kuwa single nipende mwenyewe
Kwanza nipo na Jack humu
Icho ni kibasi eeh, 🤣🤣🤣Jidanganye
Mimi niwe single?? Mabwana wote waliojaa humu?? Kuwa single nipende mwenyewe
Kwanza nipo na Jack humu
😅😅😅😅 ... kwa mpalangeee eeeh...
Ewe Binti Maua nime kukosea nini Lenie 🤣😂😂.Unayoo sema kapasso nawe umo iwa taarifa yako kama unanyapia humu kademu au njee kademu fulani taarifa nilizozipokea ni hizi yupo na mjeda na anacheo na amejazia tutakukuta siku moja upo juu ya mti wa ubuyu kwa sadala shauri yako
Yeah huvuti ni unakunywa vile vitu laini wine , wine nyama laini laini nakile kigari chako cha ukoo unarembuaga na ile hair cut yako ila demu alisepa



kigari cha urithi kitakua ki escudo iko🤣🤣🤣🤣🤣🤣!Inakuuma bi shosti, hupati bwana wa maana
Na hilo umbo la jiti, utahangaika sanaaaa
nimemiss kusikiliza taarabu
Kiu ya biereeee🍻🍻Usiwire mankaa deaba itakuwenyo ni ngwesha tu. Una uki eeh? 😂 😂 😂
Waki taka kuku piga, we sema "I mean no malice to nobody" 🤣😂Sio vita hata mi ni keyboard warrior tu.
Sina cha vita wala nini. Hata kurusha ngumi sijui 😆😆
😅😅😅 asije haribika bureee kama maajuza wengineMtoto anahitaji matunzo yule, pambana tafuta helaaa
Hakuna wewe chibest cha watu tena ila lile zigo nasikia linaliwa na lile lijamaa la tra unalijua so becaful mtot anapimwa na vipimo vizitrooEwe Binti Maua nime kukosea nini Lenie 🤣😂😂.
👉Mi jobless tu 🤣😁
Intel si ni mpambe huyoo anachukulia siriaz anatamani iwe kweli mfyuuu zake 🤠!Sio vita hata mi ni keyboard warrior tu.
Sina cha vita wala nini. Hata kurusha ngumi sijui 😆😆
Ipo siku nitakupa umbeya wangu kwa sasa na hangaika kusonga makande ya nazi hapa tule na huyu mutuHilo ndio muhimu, selfika basi shogaangu uwaonyeshe wewe sio wa mchezo mchezo wasikuchukulie poa![]()
we ajuza una maneno machafu![]()




