National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,175
- 56,202
Malaika wangu.. hana makando kandoa wala nini.. Paka paka mapepe utakuwa weyee banaaa 😂😂😂Paka huyo paka, paka mapepe paka
Umpe kuku na bata ujue hatotosheka
Teeeeenaaa![]()
Malaika wangu.. hana makando kandoa wala nini.. Paka paka mapepe utakuwa weyee banaaa 😂😂😂Paka huyo paka, paka mapepe paka
Umpe kuku na bata ujue hatotosheka
Teeeeenaaa![]()
Namkeo anaijua hiyo nakaharusi kenu mlifunga kule bado mnadaiwa hela zapicha za harusi hayati hoteli lakin5,00000 tsh umeona eh , mlilipa nusu imebaki hiyooMi niko single toka nime zaliwa🤗🤒
Antonnia mbona Sina pigo za kugombanisha watu🤔🤔.Intel si ni mpambe huyoo anachukulia siriaz anatamani iwe kweli mfyuuu zake 🤠!
Ipo siku nitakupa umbeya wangu kwa sasa na hangaika kusonga makande ya nazi hapa tule na huyu mutu




Exactly na kwangu mimi naona ni vyemachangudoa ni tafsiri ya mtu, unaweza muona changudoa unakuta sio changudoa ila kwa tafsiri yako utaona changudoa.. kwenye maisha yangu siwezi muita mwanamke changudoa au malaya wote nawaheshimu
Mh binti maua sio kweli😂😁🤣, sija wahi hata kuwa na Dem 😂😁Namkeo
Namkeo anaijua hiyo nakaharusi kenu mlifunga kule bado mnadaiwa hela zapicha za harusi hayati hoteli lakin5,00000 tsh umeona eh , mlilipa nusu imebaki hiyoo
anae jiuza anaitwa mama, mwanamke, mrembo.. kwa tafsiri ya maisha yangu.. maana tafsiri ya maisha hazifananiExactly na kwangu mimi naona ni vyema
UMHESHIMU ANAYEKUHESHIMU. sio asiyekuheshimu si unashuka naye jumla jumla tu.
Simpo. Oooh nimesahau we unasema huwezi muita changudoa sawa
Je mwanamke anayejiuza anaitwaje??
Embu nipe jina lake au ni mfanya biashara sio.
Yaani mi nimpe mtu elfu 50, apart from my mom na familia yetu.Ananyapia kabinti ka watu juzi tu alimpa 50ths akadai ni ya maji sasa mjeda ameanza jua kwani kademu kake hakana ushirikiano
Sema tu ukweli baby shower ya mkeo hujaifanyia kwenu nikule kwa yule manzi cha ajabu alikupiga hela nzuri tu halafu ukadai nindugu yako kuja outing akaondoka gafla kumbe nijamaa ake aliwaona halafu ikawaje ukarudishiwa hela zako zote hadi chenjiMh binti maua sio kweli😂😁🤣, sija wahi hata kuwa na Dem 😂😁
Niko single toka nije duniani😂😁We Intelligent businessman hujipendi eeh 🤣🤣
Intelligent businessman unakopa hadi harusi🤣🤣🤣Jibu kwanini unadaiwa hela za harusi Lenie
Ok sawa. Ila mi nimefundishwa huwa wanaitwa (changudoa au malaya)anae jiuza anaitwa mama, mwanamke, mrembo.. kwa tafsiri ya maisha yangu.. maana tafsiri ya maisha hazifanani
Pacha nauliza tu🤣😂😂Unaniita mmbea kumbe nawe unautaka![]()
Hayo mautrundu uduguuu alooooo!! Hakiii mwamba anafauduuuuuuu
![]()




Na ile shoppping baada ya samaki samaki ilichukua how much ila ukipenda unajitoa hadi rahaYaani mi nimpe mtu elfu 50, apart from my mom na familia yetu.
👉Sija wahi fanya kitu ka hicho 😂😁
Kwahyo hata baby wako humpi?Yaani mi nimpe mtu elfu 50, apart from my mom na familia yetu.
👉Sija wahi fanya kitu ka hicho 😂😁
Jobless wa akiba nipo kuwapa coyWa pili niko hapa nimejaa tele💃💃
🫣🫣🫣 kwenye mambo ya pwani umefanya nidindeee wa falaaaa




