Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
Nasubiriaaaa🤗Soon, nipo napika hapa😂
Nasubiriaaaa🤗Soon, nipo napika hapa😂
babe gani tena we miss
mbona unataka kutuokota hapaaa.. we ni single forever




Msamehe bure, mishisha Ina fanya kazi😂🤣😁Kwahyo ushasimamisha hapo?
😅😅😅😅😅Kwani na mgonjwa SI alisema hivyo hivyo😂🤣😁, said hivi tuna sikia Niacheni 😂🤣😁
Kazi anayo mbona😂Msamehe bure, mishisha Ina fanya kazi😂🤣😁
Sema Kuna watu wana shida, una gombana na 70% ya Wana selfika😂😅😅😅😅😅
😅😅😅😅😅... mabwana mkiwamimina mnawasema.. hili laniogopesha sana kudate humu.. acha nipige kimyaa tu ..Jidanganye
Mimi niwe single?? Mabwana wote waliojaa humu?? Kuwa single nipende mwenyewe
Kwanza nipo na Jack humu
Totoo ushakua mkubwa ujue😂😂hahaha
naona aibu bana😅
Mwache akuze kiwanda Cha sabuni😂🤣Kazi anayo mbona😂
Nimeumia![]()




Wewe kila mtu unamtaka🤭we mwenyewe hueleweki😂
tatizo la selfika, umbeya mwingi kwenye vibanda vya PM.. hadi watu wanachukiana watu kiboya boyaSema Kuna watu wana shida, una gombana na 70% ya Wana selfika😂
Nani huyoooo 🤣🤣🤣Sema Kuna watu wana shida, una gombana na 70% ya Wana selfika😂
kuna mahala atabahatisha 😅😅Wewe kila mtu unamtaka🤭
Nakazia🤣🤣tatizo la selfika, umbeya mwingi kwenye vibanda vya PM.. hadi watu wanachukiana watu kiboya boya
Dah sema ata pona, kwa imani ya wanna selfika😂🤣😁tatizo la selfika, umbeya mwingi kwenye vibanda vya PM.. hadi watu wanachukiana watu kiboya boya
Ataota sugu ohooooMwache akuze kiwanda Cha sabuni😂🤣
Kwahiyo unampenda nani🤔? Na unawataka wangapi?kuna tofauti ya kutaka na kupenda😅
mambo ya ajabu sana.. mnazama PM nakuanza mjadiri mtu.. ovyooo kabisaaa.. ni ukosefu wa akiliNakazia🤣🤣
Jamani nani huyo? Si unipe code best angu kipenzi 🥰🥰😂😂Dah sema ata pona, kwa imani ya wanna selfika😂🤣😁