Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

mie najua wapi nitakudakaaa.. ila pendaneni dada zetu, mbona sie wanaume tunapenda, tunaheshimiana na tunasaidiana.. ndani ya jf na nje.. msiwe wachawi banaaa
Nna watu Tena wadada tunaheshimiana Nje ya jf sijawahi ona wamenidhalilisha ht Siku
Kuna kipindi mwanangu aliumwa aseehh alinitafutia mpk ustadh yule dada ..
Sijawahi kutana na jini makata JF nashukuru Kwa hilo
 
Tupo wastaarabu wapo marimbukeni uwezi kuta mwanaume kamili anaongelea mambo ya pm jukwaani au anasamba screenshot uko pm huyo ni ,shamba tu labda ni domo zege Kwahiyo kajitafuta kajipata joined 2008-2016 wengi wao mature sna

Kazi ipo basi
 
Nna watu Tena wadada tunaheshimiana Nje ya jf sijawahi ona wamenidhalilisha ht Siku
Kuna kipindi mwanangu aliumwa aseehh alinitafutia mpk ustadh yule dada ..
Sijawahi kutana na jini makata JF nashukuru Kwa hilo
Wewe nicheme au nikustahi
 
We shosti nipe na mie ilo selfie si unajua tumetoka mbali toka enzi ya muke ya muzungu, mama Bhokenzo mwenyewe
we mmestaafu saaa...hii wameingia virusi vya kimeta humuuu!!!
Mbonaa enzi zile za mama bhokenzo na sitaa,na Linda kujiunga jf
 
Back
Top Bottom