Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,841
- 25,351
Nimepewa ubuyu nikuambie nikuacheeacha kunichota akili, watu wanapelekeana miyoto humu, wewe tu hujabahatika
Nimepewa ubuyu nikuambie nikuacheeacha kunichota akili, watu wanapelekeana miyoto humu, wewe tu hujabahatika
Hapana aisee, asije nila nyama😂😁Lady Morgana anakusalimia
Na mnaendana balaa, muone tu sie michango tutatoaHuyu namweza Mimi tu😂😁
Merlin yupo atakusaidia 😃Hapana aisee, asije nila nyama😂😁
Weee nani huyoNdioo halafu kasema hadharani
Kumbe hunipendi ehh😂😁
Kwa lipi.??? Unajua wewe ninakustahii , tu kisa umesema we are friends nikaona ubuyu wako mpya misiseme ninao mkubwa hausu mutu humu ila namezea hapa na dagaaHuyu namweza Mimi tu😂😁
mshamba_hachekwiWeee nani huyo
Tutaaminijeeehata kutongoza siwezi😂
Aki itwaa na kidem chake😂🤣, au aka mfuloe Arthur😁Merlin yupo atakusaidia 😃
Kampa mimba nani.
See you nina kazi ya kuchambua majina ya beneficiary yapo 300 hapa nimetuma majina matano tu baadae ase make sure unakunywa Dawa kipenziHapo chacha ndio vizuri waletane wambea tujue![]()
Tuko wawili Kaka, hata kuingea na manzi na tetemeka😂😁hata kutongoza siwezi😂
mie najua wapi nitakudakaaa.. ila pendaneni dada zetu, mbona sie wanaume tunapenda, tunaheshimiana na tunasaidiana.. ndani ya jf na nje.. msiwe wachawi banaaa




Nakupenda sana tu, ndio maana nataka nikufahamu vema🤣🤣Kumbe hunipendi ehh😂😁
Hapana aisee 🏃🏃🏃, Kama ni hivi Bora niwe single😂😁Nakupenda sana tu, ndio maana nataka nikufahamu vema🤣🤣
Sijui bhana ila mie sio fbi ninakusanya matukio yao naandika mimi nimwandishi wa habariKampa mimba nani.
Na walitumia style gani