YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
Ahhh nampa usia![]()
Usia wewe km nani? Mwenzio anataka kubebika




Ahhh nampa usia![]()




Nipo na kula ugali na mlendaUnique Flower uko wapi shost angu
Vitu vya kawaidaa sana ukiuliza uyo mtu ushawaai kutana na muhusika hapana umesikia wapi nimeambiwa tu na mwafulani aha kumbe sawasio kweli, mie mbona sijawai tomber mtu humu, shida humu ni fununu nyingi kuliko ukweli.. watu wanazushiana tu.. mfano Depal wanamzushia alafu bwana wake nipo hapa.. haya mwingine wanamzushia Mwachiluwi kakaangwaaa... so kuna kiwanda cha umbea
inasikitisha sana shem 🙂🙂Akati wewe Baba mchungaji uko mbioni kuanzisha kabisa
Hatulii mimi namuangalia tu anavyojifanya single huku ananibebisha na babe![]()




Mzabe kofi wifiNi Altar wineUnamuaomba Pastor wine ewe mama mchungaji 😅😅😅 kuna nini tenaa
Kupopoa ndio nini?🥴haya yaishe😅
usije ukanipopoa hapa
siamini kwanza kama wana jf hukutana na kutianaCheka tu baba Paroko wadada tunajirahisisha sana!!! Mtu anakutania wewe unajipeleka kuliwa kimasihara afu ukiletwa humu unajitirisha huruma, km sio umalaya nini???
Na wataletwa sana sisi kazi yetu kufurahi tu huku tunakunywa mivinyo![]()
wanatunga sheria .. we subiri tu watu watauana hapa.. mie leo niki logout tutaona miezi kadhaaa




na wewe mbona kuna watu hapa inaonekana umewachukia![]()




Unajua siwezi kusema maana niwale ambao ukiwafukuza hawatoki. Yupo yupo ila mie sijui hajatuliaUnique Flower eti ya kweli haya?
😄😄 em cool down bobVitu vya kawaidaa sana ukiuliza uyo mtu ushawaai kutana na muhusika hapana umesikia wapi nimeambiwa tu na mwafulani aha kumbe sawa
ungejiunga chamani sasa hivi ungekuwaaa unalishwaa huko mambaali 😅😅Nipo na kula ugali na mlenda
Sio kujilahisisha ujue kuna muda watu awajakutana na mihogo na hivi kuna uwaba wa mihogo mizuri ilio komaa kwahiyo mtu ukijinadi vzr hapa mdada kakueleewa anakupa kwa upendo shida inakuja kwa mwanaume a anataka aonekane ila uchaguzi ni wenu kuna watu wanakulana af usikii ata kelele ya feni hapa ila ukitaka kuliwa na limbukeni wa k lazima kelele tusikieCheka tu baba Paroko wadada tunajirahisisha sana!!! Mtu anakutania wewe unajipeleka kuliwa kimasihara afu ukiletwa humu unajitirisha huruma, km sio umalaya nini???
Na wataletwa sana sisi kazi yetu kufurahi tu huku tunakunywa mivinyo![]()
Mwazo palikuwa hakuna uswahili nilivutiwa na kijiwe hiki sana lakini watoto watoto wa tandale wamevamia hapa hapanog ata kupunguza mawazo





Na ulipii😄😄 em cool down bob
Ignore room ipo....
Nilikumiss shostNipo na kula ugali na mlenda
Umbeya tu sio bure umetemwa kazi undumilakuwiliVitu vya kawaidaa sana ukiuliza uyo mtu ushawaai kutana na muhusika hapana umesikia wapi nimeambiwa tu na mwafulani aha kumbe sawa
Nchana mwema,
😅😅😅 mie najua wapi nitakudakaaa.. ila pendaneni dada zetu, mbona sie wanaume tunapenda, tunaheshimiana na tunasaidiana.. ndani ya jf na nje.. msiwe wachawi banaaaNani nimemchukia?? Na kwa lipi?? Hebu mwambie aje front atoe dukuduku lake![]()