Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

sio kweli, mie mbona sijawai tomber mtu humu, shida humu ni fununu nyingi kuliko ukweli.. watu wanazushiana tu.. mfano Depal wanamzushia alafu bwana wake nipo hapa.. haya mwingine wanamzushia Mwachiluwi kakaangwaaa... so kuna kiwanda cha umbea
Vitu vya kawaidaa sana ukiuliza uyo mtu ushawaai kutana na muhusika hapana umesikia wapi nimeambiwa tu na mwafulani aha kumbe sawa
 
Unamuaomba Pastor wine ewe mama mchungaji 😅😅😅 kuna nini tenaa
Ni Altar wine
Ya ma pasta
IMG_8891.jpeg
 
Cheka tu baba Paroko wadada tunajirahisisha sana!!! Mtu anakutania wewe unajipeleka kuliwa kimasihara afu ukiletwa humu unajitirisha huruma, km sio umalaya nini???

Na wataletwa sana sisi kazi yetu kufurahi tu huku tunakunywa mivinyo
siamini kwanza kama wana jf hukutana na kutiana
 
Cheka tu baba Paroko wadada tunajirahisisha sana!!! Mtu anakutania wewe unajipeleka kuliwa kimasihara afu ukiletwa humu unajitirisha huruma, km sio umalaya nini???

Na wataletwa sana sisi kazi yetu kufurahi tu huku tunakunywa mivinyo
Sio kujilahisisha ujue kuna muda watu awajakutana na mihogo na hivi kuna uwaba wa mihogo mizuri ilio komaa kwahiyo mtu ukijinadi vzr hapa mdada kakueleewa anakupa kwa upendo shida inakuja kwa mwanaume a anataka aonekane ila uchaguzi ni wenu kuna watu wanakulana af usikii ata kelele ya feni hapa ila ukitaka kuliwa na limbukeni wa k lazima kelele tusikie
 
Nani nimemchukia?? Na kwa lipi?? Hebu mwambie aje front atoe dukuduku lake
😅😅😅 mie najua wapi nitakudakaaa.. ila pendaneni dada zetu, mbona sie wanaume tunapenda, tunaheshimiana na tunasaidiana.. ndani ya jf na nje.. msiwe wachawi banaaa
 
Back
Top Bottom