Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Niko nanjilinjii [emoji16][emoji1787][emoji16], jirani yake mawardat [emoji23]
Nchana mwema,
1691237402575.jpg
 
Nani nimemchukia?? Na kwa lipi?? Hebu mwambie aje front atoe dukuduku lake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😅😅😅 mie najua wapi nitakudakaaa.. ila pendaneni dada zetu, mbona sie wanaume tunapenda, tunaheshimiana na tunasaidiana.. ndani ya jf na nje.. msiwe wachawi banaaa
 
Haya hao wambea wanaongeza nini maishani mwao,?

Kuna mtu alienda kusema uko mmimi msukuma makazi yangu mikocheni anielezea as if tumekutana nikampotezeà hapa ananijuà kwa face ni wawili tu lakin from no where mtu anakuelezea kuna muda ni kelo mwazo paliikuwa pametulia sana

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Afu ndio nikutane na watu wa humu thubutuuuu!!! Ni kuchorana tu humu
 
Mwanzoni NilIkua mdau Huku ,yakaanza mambo meusi mmehama sipendi nimuamini Mtu then alete uswazi NilIkua najiposti Tena live kabisa
Sasa hv mmepumzika Kwa kweli

We shosti nipe na mie ilo selfie si unajua tumetoka mbali toka enzi ya muke ya muzungu, mama Bhokenzo mwenyewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom