Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Afu ndio nikutane na watu wa humu thubutuuuu!!! Ni kuchorana tu humu
Tupo wastaarabu wapo marimbukeni uwezi kuta mwanaume kamili anaongelea mambo ya pm jukwaani au anasamba screenshot uko pm huyo ni ,shamba tu labda ni domo zege Kwahiyo kajitafuta kajipata joined 2008-2016 wengi wao mature sna
 
sio kweli, mie mbona sijawai tomber mtu humu, shida humu ni fununu nyingi kuliko ukweli.. watu wanazushiana tu.. mfano Depal wanamzushia alafu bwana wake nipo hapa.. haya mwingine wanamzushia Mwachiluwi kakaangwaaa... so kuna kiwanda cha umbea

itabidi nikupiem unipe habari full maana una mengi unayajua wewe afu mimi best ako nateseka kuconnect dot
 
sio kweli, mie mbona sijawai tomber mtu humu, shida humu ni fununu nyingi kuliko ukweli.. watu wanazushiana tu.. mfano Depal wanamzushia alafu bwana wake nipo hapa.. haya mwingine wanamzushia Mwachiluwi kakaangwaaa... so kuna kiwanda cha umbea
Unataka nikutafutie gazeti lako ili ulog out forever kipelekeshe tu
 
Sio kujilahisisha ujue kuna muda watu awajakutana na mihogo na hivi kuna uwaba wa mihogo mizuri ilio komaa kwahiyo mtu ukijinadi vzr hapa mdada kakueleewa anakupa kwa upendo shida inakuja kwa mwanaume a anataka aonekane ila uchaguzi ni wenu kuna watu wanakulana af usikii ata kelele ya feni hapa ila ukitaka kuliwa na limbukeni wa k lazima kelele tusikie

Hapo chacha ndio vizuri waletane wambea tujue
 
Back
Top Bottom