YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
Mabolo yamewagombanisha!!!jamani byeee
Hayanihusu ,mi Sina timu!!!![]()
Wee usiondoke rudi shosti unipe umbea vzr





Mabolo yamewagombanisha!!!jamani byeee
Hayanihusu ,mi Sina timu!!!![]()





Tupo wastaarabu wapo marimbukeni uwezi kuta mwanaume kamili anaongelea mambo ya pm jukwaani au anasamba screenshot uko pm huyo ni ,shamba tu labda ni domo zege Kwahiyo kajitafuta kajipata joined 2008-2016 wengi wao mature snaAfu ndio nikutane na watu wa humu thubutuuuu!!! Ni kuchorana tu humu
Tulikubaliana sana tu tuwe marafiki sasa nikasikia anapigana na mama yake anamiaka 20 eh utapigaje hatua labda yakumuita babe na huku 20 wewe una 30 au 32 si majanga bado kampa mimba mtu aisee lazima umkimbieKing'ang'anizi
Nini hiki mawardat wasije kuwa panya😂🤣Nchana mwema,View attachment 2709225
sio kweli, mie mbona sijawai tomber mtu humu, shida humu ni fununu nyingi kuliko ukweli.. watu wanazushiana tu.. mfano Depal wanamzushia alafu bwana wake nipo hapa.. haya mwingine wanamzushia Mwachiluwi kakaangwaaa... so kuna kiwanda cha umbea



itabidi nikupiem unipe habari full maana una mengi unayajua wewe afu mimi best ako nateseka kuconnect dotMie akuu you are still young to mehahaha
nakupenda pia
Tester!!!Navyopita kuonja wine kila banda
Mpaka niimalize 88 nimelewa
Lenie, Depal, National Anthem binti Maua ni kiboko na nusu😂🤣😁Tulikubaliana sana tu tuwe marafiki sasa nikasikia anapigana na mama yake anamiaka 20 eh utapigaje hatua labda yakumuita babe na huku 20 wewe una 30 au 32 si majanga bado kampa mimba mtu aisee lazima umkimbie
mshamba_hachekwi kumbe ushatia mimba mtu 🤣🤣Tulikubaliana sana tu tuwe marafiki sasa nikasikia anapigana na mama yake anamiaka 20 eh utapigaje hatua labda yakumuita babe na huku 20 wewe una 30 au 32 si majanga bado kampa mimba mtu aisee lazima umkimbie
Unataka nikutafutie gazeti lako ili ulog out forever kipelekeshe tusio kweli, mie mbona sijawai tomber mtu humu, shida humu ni fununu nyingi kuliko ukweli.. watu wanazushiana tu.. mfano Depal wanamzushia alafu bwana wake nipo hapa.. haya mwingine wanamzushia Mwachiluwi kakaangwaaa... so kuna kiwanda cha umbea
siamini kwanza kama wana jf hukutana na kutiana



acha kunichota akili, watu wanapelekeana miyoto humu, wewe tu hujabahatikaIla huyu dada maua ana info zile za ndani ndani kabisa
Arthur, Merlin, and garlass🤒💪Merlin never get old 🍿🎬🎥 Intelligent businessman
Ndioo halafu kasema hadharanimshamba_hachekwi kumbe ushatia mimba mtu 🤣🤣
Hongera Sana kidume
Lady Morgana anakusalimia
Sio kujilahisisha ujue kuna muda watu awajakutana na mihogo na hivi kuna uwaba wa mihogo mizuri ilio komaa kwahiyo mtu ukijinadi vzr hapa mdada kakueleewa anakupa kwa upendo shida inakuja kwa mwanaume a anataka aonekane ila uchaguzi ni wenu kuna watu wanakulana af usikii ata kelele ya feni hapa ila ukitaka kuliwa na limbukeni wa k lazima kelele tusikie




Huyu namweza Mimi tu😂😁Ila huyu dada maua ana info zile za ndani ndani kabisa
Au efbiai??😂
Leta gazeti letaaaaaaaaUnataka nikutafutie gazeti lako ili ulog out forever kipelekeshe tu