Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Haya hao wambea wanaongeza nini maishani mwao,?

Kuna mtu alienda kusema uko mmimi msukuma makazi yangu mikocheni anielezea as if tumekutana nikampotezeà hapa ananijuà kwa face ni wawili tu lakin from no where mtu anakuelezea kuna muda ni kelo mwazo paliikuwa pametulia sana

Afu ndio nikutane na watu wa humu thubutuuuu!!! Ni kuchorana tu humu
 
Mwanzoni NilIkua mdau Huku ,yakaanza mambo meusi mmehama sipendi nimuamini Mtu then alete uswazi NilIkua najiposti Tena live kabisa
Sasa hv mmepumzika Kwa kweli

We shosti nipe na mie ilo selfie si unajua tumetoka mbali toka enzi ya muke ya muzungu, mama Bhokenzo mwenyewe
 
Cheka tu baba Paroko wadada tunajirahisisha sana!!! Mtu anakutania wewe unajipeleka kuliwa kimasihara afu ukiletwa humu unajitirisha huruma, km sio umalaya nini???

Na wataletwa sana sisi kazi yetu kufurahi tu huku tunakunywa mivinyo
Kumbe watu huwa wanachukulia serious.
 
Back
Top Bottom